• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MAAFISA ELIMU WATAKIWA KUTOKA MAOFISINI NA KUTEMBELEA SHULE MARA KWA MARA.

Posted on: August 24th, 2018


Maafisa Elimu na wakaguzi wa elimu katika Manispaa ya Iringa wametakiwa kutoka maofisini na kwenda mashuleni  kukagua shule na maendeleo ya wanafunzi  ili kusimamia ufaulu na miradi ya maendeleo kwani  kwa kufanya hivi ufaulu utaongezeka na miradi ya maendeleo itatekelezeka kwa ufanisi mkubwa.
Kauli hiyo imetolewa  na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi , Afya na Elimu Mheshimiwa Raphael Ngullo alipokuwa akifunga kikao cha ziara ya kamati hiyo kutembelea miradi sita ya maendeleo KATIKA Manispaa YA Iringa.
“Ufaulu unaweza kuongezeka kutoka hapa tulipo na kufanya vizuri zaidi, lakini hili litawezekana kama tutatoka maofisini na kutembelea shule mala kwa mala.” Amesema Ngullo.
Katika ziara hiyo jumla ya miradi ya maendeleo sita ilitembelewa na kamati hiyo ukiwemo mradi wa soko la ngome ambalo ujenzi wake umekamilika na linatarajiwa kuanza kutumika hivi karibuni. Soko hilo la ngome lipo katika kata ya kihesa na kuna jumla ya meza 52 za ndani ya soko, na nje ya soko kunatarajiwa kujengwa meza nyingine za muda kuzunguka soko hilo.
Aidha kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa vyoo 24 katika shule ya msingi Umoja ambapo ujenzi wa vyoo hivyo unatarajiwa kugharimu jumla ya shilingi milioni 10,945,000/=. Akisoma taarifa mbele ya kamati hiyo mwalimu mkuu wa shule  ya Umoja ndugu, Hawa Kaduma amesema ujenzi wa vyoo hivyo unafadhiliwa na shirika la UNDP,chini ya mkandarasi James Mvili.
Katika kuhakikisha fedha zinazopokelewa kutoka serikali kuu zinafanya kile kinachotarajiwa na kwa kuzingatia ubora kamati imekagua ujenzi wa darasa moja la P4R katika shule ya sekondari Mlandege ambapo darasa hilo limekamilika na limejengwa kwa gharama ya shilingi milioni 21,000,000/-, ikijumuisha gharama za ujenzi na uwekaji wa meza na viti.
Jumla ya miradi sita imetambelewa na kamati  ukiwemo mradi wa ujenzi wa madarasa shule ya sekondar Iringa wasichana, yanayojengwa na wadau CRDB,ujenzi wa soko la Ngome, kutembelea na kukagua ujenzi wa vyoo shule ya msingi Umoja, ujenzi wa madarasa shule ya msingi Njia Panda,ujenzi wa darasa shule ya sekondari Mlandege na ujenzi wa Maabara mbili shule ya sekondari Ipogolo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa