• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MABASI YOTE YAPATIWE VYUMBA VYA KUKATISHIA TIKEKI-MEYA NGWADA

Posted on: September 22nd, 2022

"naagiza kesho kila aina ya basi  ipatiwe chumba cha kukatisha tiketi katika stendi mpya ya Igumbilo na wakalipie, endapo kama watakaidi basi naamini hili lipo ndani ya kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya hivyo watashughulika nao"

Hayo yamesemwa Septemba 22, 2022 na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada katika kikao cha Baraza Maalum la Madiwani la kupitia taarifa ya mwaka 2021/2022 lililofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Manispaa.

Aidha Mstahiki Meya amesema kama watakaidi itakuwa ni kurudishana nyuma kimaendeleo ambayo yamefanyika katika ujenzi wa Stendi hiyo mpya ya Mabasi ya Mikoani Igumbilo kwa kupoteza mapato.

Sambamba na hayo akamuagiza Mkurugenzi na Mhandisi majengo kwenda mara moja katika Stendi hiyo na kuvunja vibanda vyote visivyo rasmi ambavyo vinatumika kukatisha tiketi na jengo la utawala lianze kufanya kazi mara moja

Awali akiwasilisha hoja hiyo mbele ya wajumbe wa Baraza Mhe. Boniface Kilave, Diwani wa kata ya Igumbilo amesema Manispaa imekuwa inapoteza mapato kutokana na hali ya wamiliki wa mabasi kutumia vituo ambavyo sio rasmi kukatisha tiketi jambo ambalo sio sahihi akitolea mfano matumizi ya eneo la pembezoni mwa barabara karibu na Stendi ya zamani ya Ipogolo

Aidha Mhe. Meya Ibrahim Ngwada amewataka wataalam wa Manispaa kusimamia vyema ujenzi wa Miradi ya Maendeleo katika kila Kata na kuhakikisha wananchi wananufaika nayo vilivyo

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe.Mohamed Moyo ameonya tabia baadhi ya wajumbe wa timu ya Menejimenti kutokufanyia kazi maazimio yanayotolewa katika vikao mbalimbali na kumtaka Mstahiki Meya kutolifumbia macho suala hilo kwani linadhoofisha maendeleo ya Manispaa .

*Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Manispaa ya Iringa*

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa