• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MACHINGA IRINGA WAPEWA SIKU 7 KUHAMIA MAENEO RASMI

Posted on: September 5th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Veronica Kessy ametoa siku saba kuanzia Septemba 5 mpaka 11, 2023 kwa machinga wote ambao wanafanya biashara katika maeneo yasio rasmi kuhamia maeneo yaliyorasimishwa na serikali.

Ametoa tamko hilo katika Mkutano wa Machinga uliofanyika katika Ukumbi wa Mercy Hall Jumanne Septemba 5 mwaka huu wakati akiwasihii machinga kufanya biashara katika maeneo yaliyo rasmi kwani serikali imetenga maeneo hayo kwa maslahi yao na wananchi.

“Machinga mfuate sheria na sio kugoma bali matatizo yenu yote yafikishwe mezani na kutafutiwa utatuzi kwa kufuata miongozo iliyoletwa na serikali ili muweze kufaidika kwa mambo mengi ikiwemo mifuko rasmi ya fedha kwaajili kukopeshwa machinga” Amesema Kessy

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya amesisitiza zoezi hilo kuanza mara moja kwani sheria hazita muacha yeyote atakayefanya biashara katika eneo lisilo rasmi, na pia ameuomba Uongozi wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Taifa (SHIUMA) kubaki Mkoani hapo mpaka pale hali itakapo tulia ili iwe mfano kwa Taifa.

Aidha Mwenyekiti wa Machinga Mkoa wa Mara Bw. Charles Waitara amewashauri machinga wa Mkoa wa Iringa kushikiriana na kushikamana kwani fursa nyingi zinawapita pasipo kujua;

“Machinga hawapati fursa kwasababu hawapo pamoja kwa maana wengine wapo maeneo rasmi na wengine hawapo maeneo rasmi, kitu kinachopelekea fursa nyingi kuwapita, mkishikamana na kushirikina kila mmoja atanufaika na fursa zilizopo huku tukiendelea kudumisha amani, umoja na utulivu” Amesema Waitara


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa