• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MACHINJIO YA NGELEWALA-MANiSPAA YA IRINGA YAANZA KAZI RASMI | SHILINGI BILIONI MBILI ZATUMIKA KATIKA UJENZI HUO

Posted on: July 12th, 2022

Hatimaye Machinjio ya kisasa ya Ngelewala iliyopo Manispaa ya Iringa imeanza kazi Rasmi leo 12/7/2022  ambapo mpaka sasa jumla ya Ng'ombe sabini na moja (71) Mbuzi saba (7 )na kondoo mmoja (1)wamechinjwa  katika machinjio hiyo mpya.


Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe.Mohamed Moyo amesema  kwa zaidi ya miaka kumi(10) kumekuwa na kusuasua kwa ujenzi wa mradi huo kupelekea uongozi wa ngazi ya Wilaya na Mkoa kuamua kuusimamia kwa karibu ili machinjio hiyo ikamilike na  kuanza kutoa huduma kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa

Dr.Steven Ngwale ni Mkuu wa Idara ya mifugo na Uvuvi Manispaa amesema Machinjo hiyo ilianza kujengwa mwaka 2008 na imegharimu jumla ya shilingi bilioni mbili  na kuwa inauwezo wa kuchinja ng'ombe mia moja(100), Mbuzi mia mbili(200) kwa siku.

Aidha Dr.Ngwale amesema manufaa ya mradi huo ni kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 200,kuongeza mapato ya Manispaa na utunzaji wa mazingira.

Pia  Dr.Ngwale ametoa wito kwa wachinjaji wote kuwa, kuanzia tarehe 12/7/2022 wafanyie shughuli za uchinjaji katika Machinjio hiyo mpya ya Ngelewala na si vinginevyo.

Naye  Bw.Robert Lugenge ni mmoja wa wachinjaji waliopo katika  Machinjio ya Ngelewala  anasema wanamshukuru Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha  hizo za kuwajengea Machinjio hiyo nzuri  kwani kwa sasa machinjio hiyo  wanayoitumia ina ubora unaotakiwa hivyo kurahisisha  shughuli zao za uchinjaji tofauti na machinjio za awali ambazo zilikuwa zimechakaa.

Mkuu wa wilaya ya Momba Mhe.Faki Lulandala aliyeambatana na Mkuu wa Wilaya ya Iringa  amewapongeza viongozi na wataalamu kwa juhudi kubwa walizofanya kukamilisha mradi huo mkubwa na kuahidi kutembelea tena huku akiambatana na waheshimiwa Madiwani wake wa  wilaya ya Momba Mkoani Songwe kwa lengo la kujifunza zaidi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa