• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MADIWANI MANISPAA WAAPA KUWATUMIKIA WANANCHI

Posted on: July 7th, 2022

Madiwani wa Chama cha Mapinduzi Ccm,Leo wameapa kuwatumikia wananchi kwa kipindi cha miaka mitano (5) ijayo 2020 hadi 2025 mara baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu uliofanyika 0ktoba mwaka huu.

Zoezi hilo la kuapa limefanyka leo 10/12/2020  katika ukumbi wa Manispaa kwenye baraza la kwanza la madiwanina kushuhudiwa na umati mkubwa wa wananchi wa Manispaa ya Iringa ambapo mh.Meya wa Manispaa Ibrahim Ngwada na Naibu Meya Mh Kenyata likotiko wameshinda kwa kishindo kwa kila mmoja kupata kura zote 25 zilizopigwa.

Akifungua kikao hicho Mh.Meya wa Manispaa ya Iringa Ibrahim Ngwada amewataka watumishi kutekeleza majukumu yao bila hofu yeyote na kuwa yeye na baraza zima la Madiwani hawatawaonea watumishi  wala kufanya maamuzi ya kumkomoa bali anamuomba Mwenyezi Mungu atimize majukumu yake kwa busara,hekima na maarifa na kufufuata kanuni zilizopo.

Aidha Mh. Ngwada amewataka watumishi kufanya kazi na madiwani wote kama timu ili kuleta ustawi bora katika Halimashauri ya Manispaa ya Iringa.

Akiongea mara baada ya madiwani kuapishwa,Mkuu wa Wilaya ya Iringa ndugu Richard Kasesela amewataka madiwani kuhakikisha wanafunzi wote walichaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza Manispaa wanapata nafasi na kuanza masomo  ifikapo Januari 2020.

Kasesela pia amempongeza Mkurugenzi wa Manispaa ndugu  Hamid Njovu kwa ujenzi wa shule mpya za sekondari ikiwemo ya Isakalilo na shule ya sekondari Igumbilo,kwani zitapunguza changamoto ya upungufu uliopo wa madarasa kwa shule za sekondari.

Mkurugenzi wa Maniapaa ya Iringa na katibu wa baraza la madiwani Hamid Njovu amewapongeza madiwani wote kwa ushindi walioupata na kuomba waridhie umaliliziaji wa miradi iliyopoya maendeleo katika kipindi cha miezi sita,ndipo waanze kutekeleza miradi mipya,ombi ambalo lilipokelewa kwa mikono miwili na mh.Meya pamoja na madiwani wote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa