• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MADIWANI MANISPAA YA IRINGA WAFANYA ZIARA RUNGWE

Posted on: May 19th, 2023

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe.Ibrahim Ngwada leo Mei 19. 2023 ameongoza Baraza la Madiwani na Mwenyekiti wa Ccm Milaya ndugu Said Lubeya katika ziara ya  kutembelea miradi mbali mbali ya maendeleo Halmashauri ya wilaya ya Rungwe

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Kiwanda cha Maziwa ASAS kilichopo eneo la Ilenge ambapo Madiwani wamejionea namna kilivyoinua Sekta ya ufugaji katika wilaya ya Rungwe,kiwanda hicho kimefanya uwekezaji wa sh bilioni 3 na kinakusanya lita 20,000 za maziwa kwa siku ambapo kimeajiri vijana wapatao 42 ambao wanakusanya maziwa kutoka vijijini kuyaleta kiwandani hapo.

Kwa sasa kiwanda kinakusanya maziwa lakini ifilapo Juni  mwaka huu kitaanza kusindika maziwa katika eneo hilo  la ILENGE

Mradi mwingine ni jengo la kuhifadhia  mali mbichi  (cold room) lililopo katika Ukanda wa uwekezaji Ilenge  Kata ya Kyimo  ambapo  wallpata fursa ya kujifunza namna  mazao ya Parachichi     yanavyo safirishwa na kuhifadhiwa katika jengo hilo linalomilikiwa na Halmashauri.

Pia  Madiwani wamejionea jinsi Halmashauri inavyovutia wawekezaji kwa kutenga ardhi na kuweka miundombinu wezeshi ya uwekezaji  kama maji, umeme, barabara  na majengo.

Awali akiwakaribisha Madiwani Mwenyekiti wa  Halmashauri ya  Wilaya ya Rungwe Mhe.Mpokigwa Mwankuga amesema Wilaya ya Rungwe imebarikiwa ardhi nzuri kwa ajili ya shughuli mbalimbali  ikiwepo  ufugaji, kilimo na vivutio vingi vya utalii na kuwakaribisha Madiwani wa Manispaa ya Iringa kuwekeza wilayani humo.

Ibrahim Ngwada ni Mstahiki Meya wa  Manispaa ya Iringa ameshukuru uongozi wa Wilaya ya Rungwe  kwa ukarimu na kusema kuwa amejifunza mambo mengi mazuri na kuvutiwa na namna umoja wa wanawake wafugaji Rungwe  (UWAWARU) wanavyofanya shughuli zake na kuahidi kuyafanyia Kazi pindi atakqporudi Manispaa kwa lengo la kuleta maendeleo Katika Halmashauri, huku Mwenyekiti  wa CCM Wilaya ndugu Said  Lubeya akiwapongeza kampuni ya ASAS DIARIES  Kwa uwekezaji mkubwa wanaoufanya Manispaa ya Iringa pamoja na Wilaya ya Rungwe.

Lubeya amesema ipo haja Halmasuri ikaongeza idadi ya wafugaji wa Ng"ombe kwani kuna uhakika wa soko la maziwa,Pia amewapongeza wilaya ya Rungwe kwa jitihada wanazofanya kuhakikisha wanafanya vizuri katika Sekta ya ufugaji  wilayani hapo.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

 Manispaa ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa