• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MADIWANI WAONYWA KUTOJIHUSISHA NA VITENDO VYA KUPOKEA AU KUTOA RUSHWA

Posted on: December 16th, 2020

Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wametakiwa kufanya kazi kwa uadilfu na umakini mkubwa kwani jamii inamatarajio makubwa sana kutoka kwao.

Hayo yamesrmwa leo tarehe 15/12/2020  katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Manispaa na ndugu Ditram Mhoma Mkuu wa dawati la Elimu kwa umma Mkoa wa Iringa kwenye maelekezo na mafunzo kwa waheshimiwa  madiwani.

Ndugu Mhoma amewataka waheshimiwa Madiwani wajiepushe na vitendo vya rushwa katika utendaji wao wa kazi kwani vitendo hivyo havitavumilika na wakifanya hivyo watachukuliwa hatua za kisheria jambo ambalo sio jema kutokea katika jamii.

Katika Mafunzo hayo Mkurugenzi wa Halimashauri ya Manispaa ya Iringa ndugu Hamid Njovu amewataka Madiwani kuungana na wataalamu kutatua changamoto zilizopo kama upungufu wa zahanati na vituo vya Afya katika kata 18,,kutatua changamoto ya upungufu wa madarasa katika shule za sekondari zilizopo Manispaa

Aidha Njovu amewataka waheshimiwa Madiwani kujali muda wa vikao vya Halmashauri na kuzingatia kanuni,sheria na taratibu zilizopo kwa kuvaa mavazi nadhifu.

Akifunga kikao hicho Mh.Meya wa Manispaa ya Iringa Ibrahimu Ngwada amewaomba wataalamu kuwathamini na kuwapa hadhi inayostahili Madiwani wote, kwani kwa kufanya hivyo Halmashauri itafanya kazi na waheshimiwa Madiwani kwa ushirikiano na umoja na kuwaletea  wananchi maendeleo katika kipindi kifupi.

Katika kikao hicho taasisi mbalimbali zilipata fursa ya  kutoa mada taasisi hizo ni,  Nmb Bank,Crdb Bank,Bima,na taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa