• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MAJENGO YA KITEGA UCHUMI KUINUA UCHUMI WA MANISPAA YA IRINGA.

Posted on: May 15th, 2024

Ujenzi wa Majengo ya Kitega Uchumi katika eneo la stendi ya zamani ya mabasi (Tembo Bar) pamoja na Jengo la Ghorofa mbili la Community Centre eneo la Kitanzini yatasaidia kwa kiasi kikubwa kuongeza mapato katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa baada ya kukamilika.

Hayo yamebainishwa katika ziara ya Kamati ya Fedha na Uongozi kwa kipindi cha Robo ya Tatu Januari - Machi 2023/2024 walipotembelea na kukagua miradi hiyo na kuona mafanikio na changamoto zilizopo.

Afisa Uwekezaji Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndg. Amiry Mtamike amewaeleza wajumbe wa Kamati hiyo kuwa Mradi wa ujenzi wa Jumba la Maendeleo (Comunity Centre) ambao utagharimu zaidi ya Tsh Bilioni 1.8 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri na Magereza kwa kipindi cha miezi 12 ambapo ulianza kutekelelezwa, mwezi  Januari mwaka 2023 ambapo katika jengo hilo chini kutakuwa na Maduka 28, ATM, Min-Supermarket na Duka la Dawa, huku ghorofa ya kwanza kutakuwa na ukumbi mkubwa wa mikutano na ghorofa ya pili kutakuwa na kumbi ndogo 4 za mikutano.

Mtamike amesena kuwa mradi wa ujenzi wa jengo la kitega uchumi Tembo Bar utagharimu zaidi ya Tsh Bilioni 2.6, mradi huu utatekelezwa kwa mfumo wa jenga, endesha, kabidhi ambapo wafanyabiashara watashirikiana na Halmashauri kutekeleza mradi huu kwa makubaliano maalumu ambayo yatasimamiwa na Mwanasheria wa Manispaa ya Iringa katika kuingia makubaliano hayo.

Mstahiki Meya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada ameitaka Menejimenti kuongeza juhudi ya usimamizi wa ujenzi huo ili ukamilike kwa wakati na kuleta manufaa kwa wananchi na Halmashauri kwa ujumla.

“Nataka kuona ujenzi unaendelea kwa kasi na vifaa vyote vinavyohitajika vinafika eneo la kazi kwa wakati hali hii hairidhishi hivyo ongezeni kasi ili ujenzi ukamilike kwa wakati.” Amesema Mhe. Ngwada.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndg. Kastori Msigala amesema amepokea maelezo yote ya Kamati na kuahidi kuyafanyia kazi kwa wakati.

Ujenzi huu utafanyika kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza itahusisha ujenzi wa vyumba 100 vya maduka ghorofa ya kwanza na awamu ya pili itakuwa ni ujenzi wa vyumba 60 vya kulala katika ghorofa ya pili.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa