• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MAKAMU WA RAIS YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AMEWATAKA VIONGOZI NA WAKUU WA MASHIRIKA KUFANYA ZIARA MARA KWA MARA KWA WANANCHI

Posted on: February 14th, 2018


Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Bi, Samia Suluhu Hassan amewaagiza viongozi ngazi ya Mkoa na mashirika yaliyo katika Mkoa wa Iringa kufanya ziara za mara kwa mara kwa wananchi kwani wananchi wanahitaji elimu sana huko chini lakini hawafikiwi na viongozi hao.

Makamu wa Rais ameyasema hayo alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara yake Mkoani Iringa ziara iliyodumu kwa siku 4 ambapo alifanya ziara katika Wilaya za Mkoa wa Iringa.

Amesema wingi wa watu aliouona kwenye mikutano yake ya hadhara unaonyesha dhahiri kuwa wananchi wanakiu ya kuwaona viongozi wao au wanahitaji sana elimu kutoka kwa viongozi. Ameongeza kuwa wakuu wa mashirika pia wawatembelee wananchi na kuwapa elimu kuhusu shughuli zinazotolewa na mashirika yao. Kwa kufanya hivyo watakuwa wametibu kiu ya wananchi.

Katika Manispaa ya Iringa Makamu wa Rais ametembelea kiwanda cha Ivory na kiwanda cha uzalishaji wa mbogamboga kilichopo Kibwabwa na baadae kupata taarifa ya Mkoa.

Aidha siku ya jumatatu tarehe 12/2/2018 Makamu wa Rais alipata fursa ya kufanya mkutano wa hadhara na wananchi katika eneo la Mwembetogwa katika Manispaa ya Iringa.

Makamu wa Rais pia amezindua Mradi wa Uendelezaji wa Maliasili na Utalii kusini mwa Tanzania yaani (REGROW) katika eneo la Kihesa Kilolo ambapo Mradi huo umefadhiriwa na Benki ya Dunia na utasaidia kukuza utalii kwa Mikoa ya Nyanda za juu Kusini.

Kuhusu suala la wamachinga Makamu wa Rais ameutaka uongozi wa Manispaa kurasimisha shughuli za wamachinga ili watambulike na kusaidiwa wakiwa kwenye makundi pia amewataka wawe na vitambulisho vitakavyo wasaidia kutambulika kwenye umoja wao bila kusahau kujiunga na mifuko ya afya na taasisi za kifedha.

Mwisho amewapongeza Manispaa ya Iringa kwa juhudi walizofanya kimaendeleo katika sekta mbalimbali na kuahidi kuwasaidia kwa baadhi ya changamoto katika shughuli zao za maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa