• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MAKONDA AMPA KICHEKO MSTAAFU KWA KUFANIKISHA MAFAO YAKE .

Posted on: February 8th, 2024

Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Paul Christian Makonda amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndg. Kastori Msigala kushughulikia madai ya malipo ya mstaafu, ndg.Michael Chadewa katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Mwembettogwa tarehe 8 Februari 2024 Mjini Iringa .

Akisikiliza kero  mbalimbali za wananchi kwenye mkutano huo ambapo mstaafu huyo amesema kuwa alikuwa mtumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa (Mwaka 1966- 2005).

Chadewa amesema pamoja na kufuatilia madai yake kwa muda nrefu mpaka sasa bado hajalipwa,hivyo anaoomba ndg Makonda kumsaidia ili apate haki yake.

"Baada ya kustaafu Mwaka 2005, nilikwenda PSSF kufuatilia mafao yangu nikaambiwa jina langu halipo na kwenda kwa Mkurugenzi ambaye alikuwa mwajiri wangu. akaniambia hayo ni makosa ya ofisi ndio maana jina lako halipo, akasema atashughulikia", amesema mzee Chadewa.

Mheshimiwa Makonda aliutaka uongozi wa Halmashauri kuthibitisha madai ya  mzee huyo na kumlipa mara moja.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa Mhe. Ibrahim Ngwada amekiri"kufahamu suala hilo na kwani Mzee Chadewa alifika ofisini kwake amesema madai ya Ndg.Chadewa ni ya kweli nilishaanza kushughulikia na nyaraka  zake zilithibitishwa Mkoani na kuonekana ni za kweki hivyo  nikiri kuwa kubadilika kwa uongozi Manispaa(wakurugenzi) kulichelewesha upatikanaji wa haki yake hivyo nimuombe mzee Chadewa Ijumaa tarehe 9.2.2024 afike ofisini tushughulikie taratibu za malipo yake amesema Ngwada.

Wakati huo huo ndg. Makonda alimuagiza Mkurugenzi wa  Manispaa ya Iringa ndg Kastori Msigala kumpatia mzee huyo kiasi cha shilingi laki nne kama kifuta jasho kwa ufuatiliaji  wa muda mrefu wa madai yake   Mkurugenzi alitekeleza agizo hilo kwa kumpatia fedha taslim shilingi lali nne( 4)

Huo ni muendelezo wa ziara za Mheshimiwa  Makonda ambazo zinafanyika mikoa 20 Tanzania bara kwa njia ya mikutano ya hadhara lengo likiwa ni kusikiliza kero mbali mbali za wananchi na kuzitatua papo hapo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa