• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA IRINGA YANG'ARA USAFI WA MAZINGIRA KITAIFA

Posted on: January 26th, 2022

Na Mwandishi Wetu,Iringa

HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa Mkoani hapa imeshika nafasi ya pili kitaifa katika mashindano ya usafi wa mazingira kwa mwaka 2021.

Hayo yameelezwa leo (Januari 26) na Kaimu Mkuu wa Idara ya Usafi na Mazingira wa Manispaa ya Iringa, Mohamed Mtopa kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani  la kupokea taarifa kutoka kwenye Kata kwa kipindi cha Robo ya Pili (Octoba – Disemba, 2021/2022 uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Manispaa hiyo.

Mtopa alisema kata za Gangilonga, Ruaha, Kitanzini na Miyomboni zimefanya vizuri zaidi katika mashindano hayo ya usafi na hivyo kuifanya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kushika nafasi ya pili kitaifa.

Aidha, Mtopa aliitaja mitaa ya Kilimani, lugalo A, kinyanambo C, Jamati, Maweni, Miyomboni, Mlambalazi, Mapinduzi, Ngen’gena na Makondeko iliyopo ndani ya kata hizo kuwa imefanya vizuri sana katika usafi wa Mazingira.

Kufuatia Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kufanya vizuri katika usafi kitaifa, Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo, Mhe. Ibrahim Ngwada, aliahidi  kikao kijacho kuzikabidhi hati za pongezi kata zilizofanya vizuri katika usafi.

Mhe. Ngwada amesema kufanyika kwa tukio hilo ni hamasa kwa waliofanya vizuri lakini pia kwa wengine kuongeza jitihada ili msimu ujao na wao wapate zawadi hiyo kwa kuhakikisha wanafanya vizuri zaidi katika utunzaji wa mazingira.

Aidha, Mhe. Ngwada amewapongeza Madiwani, Watendaji na Wataalamu wa Manispaa kwa ushindi huo na kuwataka waendelee kuyatunza mazingira  ili yawe masafi muda wote na msimu ujao washike nafasi ya kwanza kitaifa.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa