• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA HAINA UPUNGUFU WA KONDOMU: MEYA IRINGA MANISPAA

Posted on: September 2nd, 2021

"Ndugu waandishi wa habari hili jambo na uvumi kuhusu Manispaa ya Iringa ina uhaba wa kondomu sio kweli, ukweli ni kwamba Manispaa yetu inazo kondomu za kutosha katika maeneo yote ya muhimu kuwepo"

Hayo yamesemwa leo tarehe 2/9/2021 na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada katika kikao chake na waandishi wa Habari kilichofanyika katika ofisi yake kwa lengo la kutoa ufafanuzi kutokana na baadhi ya vyombo vya habari kuripoti taarifa iliyosema Madiwani Manispaa ya Iringa walalamikia upungufu wa kondomu

Aidha Mhe. Ngwada amesema taarifa hiyo sio nzuri na haina ukweli  wowote kwani Serikali yetu  ina wajali wananchi wake na imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha inapambana kupunguza maambukizi ya Ukimwi Mkoani Iringa hususani Manispaa

Vilevile amesema, chanzo cha hoja hiyo iliibuliwa katika Mkutano wa Baraza la Madiwani lililofanyika siku ya tarehe 31.08.2021 ambapo Mhe. Tandes Sanga Diwani wa Kata ya Ruaha kusema alipita katika baadhi ya nyumba za kulala wageni na kukosa kondomu katika maeneo hayo

Katika maelezo yake Mhe. Ngwada amesema jambo hilo linawezekana kwakuwa kondomu zikiwekwa  zinatumika mara moja hivyo zinapoisha wataalamu husambaza tena  na kusema inaonyesha muitikio wa wananchi kutumia kondomu ni mkubwa, hivyo amesema isichukuliwe tafsiri ya kwamba kuna upungufu wa kondomu ndani ya Mansipaa yake

"Katika kipindi cha miezi miwili tumegawa jumla ya kondomu laki moja, sitini na nane elfu na mia tano (168, 500) katika maeneo mbalimbali ya taasisi za kiserikali na binafsi hivyo huwezi kusema kondomu hakuna na kumbuka zoezi hili ni la mara kwa mara" Ngwada alisema

Naye Bi. Dora Myinga ambaye ni Mratibu wa kudhibiti Ukimwi Sekta ya Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Iringa amesema, utofauti wa idadi ya ugawaji wa kondomu katika maeneo, unatokana na uwepo wa viashiria na vichocheo vingi  vya maambukizi ya virusi vya ukimwi kama vilabu, vyuo na sehemu za starehe, nyumba za kulala wageni kwa kuwa na matukio ya kingono mengi hali ambayo inawalazimu kugawa kwa wingi kinga hizo katika maeneo hayo

Akihitimisha kikao hicho Mhe. Ngwada ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi huku akibainisha kuwa Mkoa wa Iringa ni wa pili kwa maambukizi ya VVU/UKIMWI.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa