• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA KUSAIDIA VIKUNDI KIUCHUMI

Posted on: April 13th, 2018


Manispaa ya Iringa imeahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni moja kutoka katika bajeti yake ya mwaka wa fedha 2017/2018 kwaaajili ya kusaidia kikundi cha wanawake cha Jordan kinachojishughulisha na  ufugaji wa kuku kutoka kata ya Mkimbizi chenye wanachama 11 chini ya Kamati ya kudhibiti Ukimwi.

Kauli hiyo imetolewa na Meya wa Manispaa ya Iringa kama Msimamizi wa Halmashauri kwa kikundi hicho baada ya kamati ya Kudhibiti Ukimwi inayoongozwa na Diwani wa Kata ya Mshindo mheshimiwa Ibrahimu Ngwada  Kutembelea kikundi hicho.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa  Ngwada, amesema anaomba ahadi hiyo ya Halmashauri itekelezwe mara moja kwani kikundi hicho ni moja ya kikundi kilichoamua kusimama na kuunda umoja wa wanawake wanaoishi na maabukizi ya ukimwi wakiwa na lengo la kujikwamua kiuchumi na kufuatilia matumiazi ya dawa za kufubaza virusi vya ukimwi.

Amesema inatia moyo kwa kuona wanawake hao wamejikubali na kushauri vikundi kama hivi viundwe katika Kata zote.

Akisoma taarifa kwa Kamati hiyo, Katibu wa Kikundi hicho amesema kwa sasa kikundi kina jumla ya kuku wapatao 180 wa mayai ambapo  kwa siku moja wanaokota tray tatu za mayai na kuziuza kwa shilingi elf saba kwa tray moja.

Adha kikundi cha Jordan kimeweza kujiinua kiuchumi kwa kununua hisa kwa kila mwanachama na kukopeshana.

Kamati pia imeweza kutembelea hospitali ya frelimo inayomilikiwa na Manispaa ya Iringa na kujiona jinsi ambavyo huduma ya tohara inafanyika na kujua changamoto ya utoaji wa uhudu hiyo.

Akitoa taarifa kuhusu huduma ya tohara hospitalini hapo Mganga mfawidhi wa hospitali ya Frelimo Drk. Pilila Zambi amesema mpaka sasa wanaume wapatao 1996 na watoto 979 wameshafanyiwa tohara katika kituo hicho.

Amesema tohara inapunguza maambukizi ya ukimwi kwa asilimia 60 hivyo ni vyema wanachi ambao hawajapata huduma ya tohara wakahamasishwa kufanya hivyo.

Amesema changamoto kubwa wanayoipata kituoni hapo ni muitikio mdogo wa wazazi ambao wanashindwa kuwaleta watoto wadogo kupata huduma ya tohara wakiamini kuwa tohara katika umri mdogo hufanya maumbili ya motto kushindwa kukua jambo ambapo sio la kweli.

Hivyo mwenyekiti wa Kamati na wajumbe kushauri elimu kuzidi kutolewa kwa wazazi, kwenye vyombo vya habari na mikutano ya kijamii ili wanachi waweze kufahamu umuhimu wa toharakwa watoto wa kiume.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa