• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA NA ASAS KUGAWA MAZIWA KWA WANAFUNZI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZIWA DUNIANI

Posted on: September 30th, 2020

Katika kuadhimisha siku ya Maziwa Duniani, Manispaa ya Iringa kwa kushirikiana na Kampuni ya maziwa ya ASAS imegawa maziwa kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Ipogolo pamoja na Shule ya Viziwi Mtwivila ikiwa ni sehemu ya uadhimishaji wa siku hiyo
Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Afisa Lishe Manispaa ya Iringa Bi. Anzael Msigwa amesema maziwa ni sehemu muhimu sana ya lishe hasa kwa wanafunzi kwani huboresha afya zao na kupelekea ufaulu mzuri darasani.
‘’siku ya leo ni siku muhimu sana, ndiyo maana Manispaa inatekeleza hili kwa vitendo kwa sababu faida yake ni kubwa kama vile kuongeza uwezo wa kuona kwa wanafunzi wetu, kuzuia utoro na mengine mengi, kwa kipekee niwapongeze wadau wetu kampuni ya Asas kwa kuwezesha siku hii kwenda kama ilivyopangwa’’
Kwa upande wake Mwl. Mkuu shule ya msingi Ipogolo Isaya Sekwau ameipongeza Manispaa ya Iringa kwa kuichagua shule ya msingi ipogolo kama sehemu ya uazimishaiji wa siku ya maziwa duniani ambapo wanafunzi wa shule hiyo wamepata furusa ya kunywa maziwa hayo.
Nae Mwl. Mkuu shule ya Viziwi Mtwivila Bw. Allinanuswe Mwankosye amesema’’tunashukru sana kwa hiki mlichotuletea kwa wanafunzi wetu, hii itaongeza molali kwao na kwetu kwa heshima hii kubwa mliotupatia’’
Pamoja na hayo wadau katika siku hiyo kampuni ya maziwa ya Asas kupitia kwa Mratibu wake Bwana Mtimila Lipita amesema kuwa kampuni yao itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kuhakikisha inatoa huduma ya maziwa katika shule mbalimbali huku kipaumbele ikiwa ni shule zenye uhitaji maalumu.
Zaidi ya wanafunzi 2800 pamoja na Walimu kutoka shule za Msingi Ipogolo na Shule ya msingi viziwi Mtwivila wamekunywa maziwa kutoka kampuni ya uzalishaji wa maziwa ya ASAS Dairies Limited iliyopo Mkoani Iringa ikiwa ni sehemu ya kilele cha maazimisho ya siku ya Unywaji wa Maziwa Duniani

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa