• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA YAADHIMISHA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA KUPANDA MITI NA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

Posted on: January 12th, 2021

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada ameta mifuko 50 ya saruji katika Shule ya Msingi Chemchem kwa ajili ya umaliziaji wa ujenzi wa choo chenye matundu 28 shuleni hapo

Mh. Ngwada ameonyesha mfano na kuitaka jamii kuchangia maendeleo ya elimu katika Manispaa ya Iringa kupitia shughuli mbalimbali za jamii

Zoezi hilo limefanyika leo tarehe 12/01/2021 ikiwa ni maadhimisho ya miaka 57 ya Mapinduzi matukufu ya Serikali ya Zanzibar

Naye Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mhe. Jesca Msambatavangu amechangia mabati katika ujenzi huo wa choo katika Shule hiyo na kuahidi kama watakamilisha ndani ya wiki mbili atawakabidhi bati hizo

Nae Rais wa Serikali ya Chuo kikuu cha RUCU akiwa ameongozana na na kundi la umoja wa vijana wa CCM seneti tawi la RUCU ametoa kiasi cha sh 50,000/= ziweze kusaidia ujenzi huo

Wengine walio changia ujenzi huo ni pamoja na Diwani wa kata ya Mkimbizi  Eliud Mvela ambaye amechangia sh 30,000/= na kusema jukumu la kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu bora ni letu jamii

Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa  ndugu Hamid Njovu amesema anashukuru kupata Mbunge ambaye anajitoa kusukuma maendeleo ya wananchi wake

Awali maadhimisho hayo yalianza Katika Stendi mpya ya Igumbolo ambapo wananchi na taasisi mbali mbali walijitokeza katika uzinduzi wa upandaji miti ambapo miti 500 ilipandwa katika eneo hilo

Waliojitokeza katika maadhimisho hayo ni vikundi mbalimbali vya usafi wa mazingira, wananchi, Envbright, MWAKIMC, Cleaners Health na umoja wa vijana CCM Seneti tawi la RUCU, Tawagro na  Waheshimiwa madiwani wa chama cha Mapinduzi Manispaa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa