• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA | ELIMU NI BURE WAPELEKENI WATOTO WAKASOME

Posted on: June 17th, 2021

Jana Juni 17.2021  Halmashauri ya Mansiapaa ya Iringa imeadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa masuala ya kijinsia na watoto, iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Nyumba tatu

Maadhimisho hayo yaliyobeba ujumbe wa 'TUTEKELEZE AJENDA 2040 : KWA AFRIKA INAYOLINDA HAKI ZA MTOTO' yamewakutanisha watoto na wanafunzi kutoka shule mbali mbali za msingi za Manispaa ya Iringa

Akizungumza katika  maadhimisho hayo Ndg. Eston Kyando  Katibu Tawala wa Wilaya ya Iringa qmbaye alimuwakilisha Mkuu wa Wilaya kama Mgeni rasmi amekemea  baadhi ya familia kuwabagua watoto kijinsia katika elimu na mahitaji mengine ya muhimu

"Serikali imelipia Elimu kwa kila mtoto hivyo wazazi tusiwaache watoto wakakosa kuelimika  tuwapeleke wakasome kwa ajili ya taifa bora la Tanzania ya baadae" alisema Ndg. Kyando

Tiniel Mbaga ni Afisa Ustawi wa Jamii Manispaa ya Iringa, ameeleza kuwa Ofisi yake inaendelea kutoa elimu kwa Jamii katika kukomesha ukatili wa kujinsia kwa watoto na ametoa wito kuanzia ngazi ya familia kuhakikisha wanawalinda watoto dhidi ya ukatili na amesema yeyote atakayebainika kumfanyia ukatili mtoto basi sheria kali zitachukuliwa dhidi yake

Afisa  Maendeleo  ya Jamii, Mwantumu Dosi amewashukuru wadau   kujitokeza katika kushiriki kwenye maadhimisho hayo pia ameeleza  kuanzishwa kwa mabaraza ya watoto kwa ngazi ya kata na Halmashauri huku akieleza kuwa hatua hiyo itawasaidia watoto hao kujadili changamoto zao ili ziweze kutatuliwa na ni dhana itakayowajengea kuwa viongozi wa badae

Ikumbukwe kuwa madhimisho ya mtoto  wa Afrika hufanyika kila mwaka Juni 16 ambapo kwa Mkoa wa Iringa yalifanyika Kiponzelo huku mgeni Rasmi akiwa ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Queen Sendiga.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa