• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA YAENDELEA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MARALIA KUPITIA UGAWAJI WA VYANDARUA NA UTOAJI WA ELIMU KWA WANANCHI

Posted on: July 22nd, 2020

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa kushirikiana na wizara ya Afya,Maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto,inatarajia kuanza zoezi la ugawaji vyandarua ndani ya Manispaa katika kata zote kumi na nane.


Katika kuhakikisha zoezi hilo linafanyika kwa ufanisi watendaji wa kata 7, watendaji wa mitaa 7,maafisa Afya, pamoja na wanajamii wa kujitolea leo wamepewa mafunzo ili kuhakikisha kaya zote zilizopo katika Manispaa ya Iringa zinaainishwa,zinatambuliwa,idadi ya walengwa kwa lengo la kuwagawia vyandarua vyenye viatilifu wa muda mrefu.


Regina shigongo ni Afisa afya Manispaa ya Iringa  akitoa mada katika mafunzo hayo amewataka washiriki kuzingatia mafunzo waliyopewa ili waweze kufanya kazi hiyo kwa weledi.


Nae mratibu wa Malaria Manispaa ya Iringa  Dr.Paul Daffa amesema

Kuwa zoezi hilo linalenga kumaliza tatizo la ugonjwa wa malaria katika Manispaa hii.


Daffa amebainisha mada zilizotolewa ni pamoja na majukumu ya Afisa watendaji wa kata na mitaa, na Afisa Afya katika zoezi la uandikishaji na ugawaji wa vyandarua katika kaya.majukumu ya     mwenyekiti wa mtaa pamoja na majukumu ya mwanajamii wa kujitolea.


Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa jumba la maendeleo yanatarajia kumalizika kesho wakati zoezi la usajili litaanza tarehe 24/7 mpaka tarehe 28/7 mwaka huu mara baada ya usajili kukamilika zoezi la ugawaji wa vyandarua katika kaya zote za Manispaa ya Iringa litaanza mara moja.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa