• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA YAJA NA MKAKATI MZITO KUKOMESHA UKATILI WA KIJINSIA.

Posted on: October 13th, 2020

Ofisi ya Mkurugenzi Manispaa ya Iringa kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Jamii imefanya majadiliano na vikundi vya malezi juu ya mkakati wa mawasiniano katika kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

Majadiliano hayo yamefanyika kwa siku tatu katika maeneo tofauti ikijumuisha wadau wa malezi kutokea kata 18 za Halmashauri ya Manispaa  ya Iringa.

"Serilikali yetu imeleta mpango mkakati wa mawasiliano ambao unawasaidia wananchi kutoa taarifa zinazohusu ukatili wa kujinsia mara moja na kutapatiwa ufumbuzi hivyo basi sisi kama walezi inatuhitaji kuelimisha jamii kuepukana na masuala ya kiukatili"

Akiyasema hayo katika kikao hicho Bi. Mwantumu Dosi ambaye ni Afisa Maendeleo ya jamii Manispaa ya Iringa ikiwa ni kama chachu ya kuleta mabadiliko dhidi ya ukatili ndani ya Jamii zetu.

Tiniel Mbaga ambaye ni Afisa Ustawi wa Jamii Manispaa ya Iringa nae amewataka washiriki hao kushirikiana na ofisi yake kwa aina yoyote ya ukatili utakao onekana kufanyika katika Jamii zinazowazunguka kama moja ya njia itakayosaidia kupunguza tatizo hilo

Bwana. Adrian Ngaga kutokea kata ya Mkimbizi ambaye ni mjumbe kwenye kikao hicho amesema jamii zilizo nyingi za kitanzania zimekuwa na tatizo la umasikini hivyo kupelekea mwanamke kuonekana kuathiriwa zaidi kwakuwa waliowengi ni wategemezi kwa wanaume hivyo wakati mwingine kuchochea na kupelekea ukatili kwao.

Aidha ifahamike kuwa, takwimu zinaonesha kwa mwaka 2019 hadi mwezi Juni 2020, Manispaa ya Iringa imeripoti kesi 2761 za ukatili huku 699 wakiwa ni wanaume na

2062 wanawake hivyo ikionesha kuwa wanawake wamekuwa ni wahanga zaidi wa ukatili wakifatiwa na watoto

BAADHI YA UJUMBE ZILIZOTOLEWA KWENYE KIKAO KAMA VIHAMASISHI KATIKA KUPINGA NA KUPUNGUZA UKATILI WA KIJINSIA.

1. Huwezi kuepuka changamoto za maisha kwa ulevi. Kuuwendekeza ulevi ni kuhatarisha maisha yako.

2. Ubakaji ni ushenzi, sio njia ya kupatia utajiri. Acha Tania mbaya

3. Mkiwafundisha watoto wenu watawaheshimu, msipo wafundisha watawaaibisha.

4. Mawasiliano huimarisha uhusiano, jenga Familia zungumza na mwenza wako.

5. Mtoto mwenye tabia njema ni fahari ya ya wazazi, kinyume chake ni huzuni kwa Familia.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa