• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA YAPOKEA M. 900 UJENZI WA MADARASA 45

Posted on: October 12th, 2022

'Tunaishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia Halmashauri ya Manispaa ya Iringa fedha kiasi cha shilingi milioni 900 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba  45 vya madarasa kwa wanafunzi wa Shule za Sekondari kwa mwaka 2023."

Hayo yamesemwa  na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake leo tarehe 12/10/2022 kwa lengo la kutoa maelekezo ya utekelezaji wa ujenzi wa vyumba hivyo vya Madarasa kwa Wakuu wa Shule na baadhi ya wakuu wa Sehemu na Vitengo wa Manispaa.

Ngwada amesema jumla ya Shule 14 zitanufaika na ujenzi wa Madarasa hayo ikiwemo Shule ya Sekondari ya Ipogolo madarasa 5,Shule ya Sekondari ya kigungawe madarasa 3,Shule ya Sekondari ya Kihesa madarasa 4, Shule ya Sekondari Klerruu mazoezi madarasa 4,Shule ya Sekondari ya Mtwivila madarasa 5,Shule ya Sekondari ya Shabaha madarasa 3, Shule ya Sekondari ya Mivinjeni madarasa 3 Shule ya Sekondari ya Tagamenda madarasa 3 ambapo kila darasa moja litajengwa kwa thamani ya shilingi milioni 20.

Hata hivyo Mhe. Ngwada ametoa wito kwa wakuu wa Shule kuhakikisha wanakamilisha ujenzi huo kabla ya muda ulipangwa wa miezi mitatu na kuwataka kufuata taratibu zote za manunuzi ili kusiwepo na ukiukwaji wa taratibu pia amemtaka Mhandisi kusimamia ubora wa Madarasa yatakayojengwa, uendane na thamani ya fedha iliyotolewa.

Kwa upande wake Tupe kayinga Afisa Elimu Sekondari Manispaa  amesema mahitaji ni madarasa 56 hivyo anashukuru kwa kupatiwa madarasa 45 kutoka Serikali kuu kwani imewapunguzia mzigo na kusema madarasa 11 yaliyobaki yatajengwa kwa fedha za Mapato ya ndani.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI  MANISPAA YA IRINGA

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa