• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA YAPONGEZWA, UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM : M/KITI CCM, IRINGA DR. NYAMAHANGA

Posted on: July 19th, 2021

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa ikiongozwa na Mwenyekiti Ndg. Abel Nyamahanga waipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi

Hayo ameyasema leo tarehe 19.07.2021 Ndg. Nyamahanga katika ukaguzi wa shughuli na ujenzi wa miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa chini ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa

Aidha miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni pamoja na ujenzi wa uwanja wa ndege wa Nduli, Ujenzi wa bweni la wanafunzi shule ya sekondari Nduli, Ujenzi wa Maabara shule ya sekondari Mlamke na Kleruu, Ujenzi wa barabara ya lami ya Kihesa, Kikundi cha vijana mafundi selemala ‘YOUNG FURNITURE GROUP’ cha Mlandege, Ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Kigungawe, Ujenzi wa jengo la abiria na utawala katika stendi mpya ya Igumbilo pamoja na Mradi wa Machinjio ya kisasa wa Ngelewala

Hata hivyo Ndg. Nyamahanga ametoa maagizo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha mradi wa Igumbilo unakamilika na kumtaka kukamilisha suala la ulipaji wa fidia kwa wananchi waliojitolea maeneo yao ili kujengwa kwa stendi hiyo

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndg. Omary Mkangama amesema moja ya sababu iliyopelekea kutokamilishwa kwa malipo ya fidia kwa wananchi waliojitolea maeneo ni kufungwa kwa mfumo wa malipo tarehe 30.06.2021 nchi nzima kwaajili ya zoezi la usuluhishi wa kibenki na maandalizi yakuingia kwenye mfumo mpya wa malipo MUSE ambapo zoezi hilo litakapokamilika ndio Halmashauri itaanza kulipa na wananchi watalipwa baada ya mfumo wa malipo kufunguliwa

Naye Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Queen Sendiga amemhakikishia Mwenyekiti wa CCM Mkoa kukamilika kwa barabara iendayo katika shule mpya ya Sekondari Kigungawe ambayo imeonekana kuwa na changamoto katika ufikaji kutokea barabara kuu huku Mradi huo ukionesha kusaidia kutatua changamoto na adha ya umbali kwa wanafunzi ambao hapo mwanzo walikuwa wakienda umbali mrefu kufika mashuleni.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa