• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA YATIA SAINI MAKABIDHIANO YA MAEGESHO

Posted on: June 30th, 2022


Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada ametia saini makabidhiano ya maegesho ya vyombo vya moto kutoka wakala wa barabara za Mijini na vijijini (TARURA) ikiwa ni kutii agizo la waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa kuwa vyanzo vyote vya mapato viwe chini ya Halmashauri.

Makabidhioano hayo yamefanyika  leo June 30/2022 katika Ofisi ya Mkurungenzi na kuhusisha timu ya menejimenti ya Manispaa  ya Iringa na wataalam kutoka (TARURA)ambapo Mstahiki Meya alisisitiza ushirikiano baina ya Manispaa na TARURA kuhakikisha vyanzo hivyo vinaendelea kufanya vizuri katika kukusanya mapato kama ilivyokuwa hapo awali.

Mhe Ngwada amewataka wakusanyaji wa mapato  kuwajibika kikamilifu na kusiwepo na upotevu wa mapato katika maeneo yao ya kazi.

Mhe Ngwada amewashukuru TARURA kwa  kuwa tayari kutoa msaada wa kitalam pale ambapo watapata changamototo katika kutekeleza majukumu hayo na kusema ataendelea kuwatumia wafanyakazi wale wale kwa kuingia nao mkataba mpya.

Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Meneja wa TARURA Mhandisi Makori Kisare amekabidhi  Mashine thelasini na sita (36) za kukusanyia mapato (POS) na wafanyakazi kumi na saba ( 17) ambao mkataba wao umeisha tarehe 30/6/2021.

Bw.Makori amesema wako tayari kushirikiana na Manispaa ya Iringa wakati wowote ili kulisukuma gurudumu la maendeleo mbele na kuwa waendelee kufanya kazi na Mhasibu wa TARURA  Mkoa wa Iringa Bw Charles Daudi li kuwapa uzoefu  katika kutekekeza majukumu hayo mapya.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa