• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA YATOA MIKOPO YA TSH 184,753,000/=,PIKIPIKI NA BAJAJI KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: June 15th, 2022


Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia mfuko wa wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu imetoa mikopo ya shilingi milioni 184,734,000/=kwa vikundi vya wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu katika kipindi cha robo ya tatu Januari hadi Machi 2022.

Akikabidhi hundi hiyo June 15 katka ukumbi wa Mikutano wa Manispaa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa  Mhe.brahim Ngwada amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kutumia fedha walizopata kwa malengo waliyokusudia ili fedha hizo ziweze kuwasaidia kujikwamua kiuchumi.

Pia amekakabidhi piki piki saba (7)  zenye thamani ya shilingi 22,169,000/=katika kikundi cha vijana cha Nguvu  kazi kilichopo kata ya Mshindo

Pamoja na Bajai moja yenye thamani ya shilingi 8,500,000/=katika kikundi cha Bajaji Ruaha.

Mhe.Ngwda amewataka kuzitunza pikipiki na bajaji hizo pia kuzingatia urejeshaji wa mikopo hiyo kwa wakati uliopangwa ili na wengine waweze kupata fursa hiyo.

Mwatumu Dossi ni Afisa Maendeleo ya Jamii Manispaa amesema Halmashauri ya Manispaa kupitia mfuko wa wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu imekuwa ikitoa mikopo kwa vikundi vya vijana, kupitia asilimia kumi(10%) ya mapato ya ndani yanayotengwa kwa mgawanyo wa 4:4:2 ambapo asilimia  nne inatolewa kwa wanawake,nne kwa vijana na asilimia 2 kwa watu wenye ulemavu.

BI.Mwatum amesema kila Mwaka Idara ya Maendeleo ya Jamii imekuwa ikipokea maombi ya vikundi vinavyohitaji  mikopo kutoka kwa wanawake,vijana na watu wenye ulemavu kwa lengo la kuwawezesha kujikwamua kiuchumi na kuongeza ajira.

Aidha  Bi Mwatumu amesema katika kipindi cha fedha 2021/2022 kiasi cha Tshilingi 298,829,800/=kilitengwa ikiwa ni mchango wa asilimia kumi ya mapato ya ndani ya Halmashauri,ambapo kiasi cha Tshilingi 119,531,920/=kilitengwa kwaajili ya mikopo ya vikundi vya vijana,Tshilingi 119,531,920/=kilitengwa kwaajili ya mikopo ya vikundi vya wanawake, na Tshilingi 59,765,960  kilitengwa kwaajii ya mikopo ya vikundi vya watu wenye ulemavu.

Aidha amesema mikakati iliyopo ya kuimarisha vikundi ni kuendelea kutoa elimu juu ya fursa ya mikopo inayotolewa na Halmashauri,kutoa elimu kwa jamii juu ya uundaji wa vikundi,kuendelea kutoa elimu juu ya sifa wanazopaswa kuwanazo wanavikundi wanaohitaji kupata mikopo na kuwaelimisha wanavikundi umuhimu wa kufanya marejesho kwa wakati.

 Naye Mwenyekiti wa kikundi cha watu wenye ulemavu  ameshukuru kupata mikopo hiyo na kusema Serikali inafanya jambo jema kuwajali watu wenye ulemavu kwa kuwapa mikopo ambayo inawasaidia kuwaongezea kipato.

Katika hafla hiyo ya kukabidhi hundi jumla ya vikundi 26 vya Vijana na vikundi 8 vya watu wenye ulemavu walinufaika na mikopo hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI JUNI 27.2022 June 27, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • TANGAZO LA KAZI MANISPAA YA IRINGA 30.05.2022 May 30, 2022
  • IMC. MIRADI YA UVIKO HADI TAREHE. 3 JAN 2022 PDF January 04, 2022
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • TOENI TAARIFA KWA WANACHI SERIKALI INAVYOTOA FEDDHA ZA MIRADI- MHE.BASHUNGWA

    July 02, 2022
  • KATIBU TAWALA MKOA AWAPA SOMO MENEJIMENTI-MANISPAA IRINGA

    June 24, 2022
  • MANISPAA YA IRINGA YANG'ARA UPATAJI WA HATI SAFI

    June 18, 2022
  • MANISPAA YA IRINGA YATOA MIKOPO YA TSH 184,753,000/=,PIKIPIKI NA BAJAJI KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    June 15, 2022
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa