• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MANISPAA YA IRINGA YAWEKA REKODI KITAIFA KUPITIA SHULE YA SEKONDARI MKWAWA KWA KUMTOA MSHINDI WA KWANZA KITAIFA KATIKA SHINDANO LA UANDISHI WA INSHA

Posted on: July 23rd, 2020

Mwanafunzi wa kidato cha tatu Danieli Mwinuka wa Shule ya Sekondari Mkwawa iliyoko ndani ya Manispaa ya Iringa, ameibuka mshindi wa kwanza kitaifa katika shindano la uandishi wa Insha bora kuhusu ubunifu wa majengo na ukadiriaji majenzi.


Shindano hilo imeandaliwa na kisimamiwa na Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi Taifa huku likihusisha shule mbalimbali Tanzania bara na Visiwani.


Aidha Mwanafunzi Daniel amepatiwa zawadi ya shillingi 500,000 za kitanzania kama pongezi ya mshindi wa kwanza huku Shule yake ikipatiwa fedha shilingi 300,000 pamoja na vyeti.


Hamid Njovu ambaye ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa amesema, anampongeza sana Mwanafunzi Daniel kwa kushinda katika nafasi ya kwanza huku akiipongeza Shule na Walimu kwa jitihada walizozifanya mpaka kupata ushindi huo.


Mkuu wa shule ya Sekondari ya Mkwawa ndugu. Adrian Magoyo nae kwa nafasi yake, anawashukuru Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi kwa kuwashirikisha katika shindano pia ameishukuru Ofisi ya Mkurugenzi kwa kuwaunga mkono


Sambamba na hilo Mkuu huyo ametoa pongezi za dhati kwa walimu wa masono ya Lugha Mwl. Zedekia Mtega na Azimara Chuma kwa kusimamia zoezi zima la uandishi wa Insha hatimaye kupata ushindi wa kwanza kitaifa.


Daniel Mwinuka ambaye ni mshindi ameleeza kuwa anafurahishwa sana na ushindi huo huku akiwahimiza wanafunzi wengine wajitahidi kushiriki katika mashindano mbalimbali ya kitaifa watakayoalikuwa kama sehemu yao yakujifunza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa