• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUUNGA JITIHADA ZA KUPINGA UKATILI KWA WATOTO, KUENEO KWA UKIMWI NA KUBORESHA LISHE BORA MANISPAA YA IRINGA

Posted on: November 22nd, 2022

Wadau mbalimbali wa Mashirika yasiyo ya kiserikali Manispaa ya Iringa wametakiwa kutoa Elimu na uhamasishaji wa mapambano dhidi ya UKIMWI, LISHE BORA na UKATILI DHIDI YA WATOTO

Hayo yamesemwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada katika kikao cha wadau hao pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa, kilichofanyika katika ukumbi  wa mikutano wa Manispaa tarehe 22/11/2022.

Akixungumza na wadau katika kikao hicho Mhe. Ibrahim Ngwada amewakaribisha na wadau hao kufika ofisini kwake muda wowote wakihitaji msaada wa jambo lolote ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma nzuri na stahiki.

Awali akifungua kikao hicho Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Juli Sawani ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kihesa alisema malengo makuu ya kuwakutanisha wadau hao ni kuondoa muingiliano na  mgongano wa kiutendaji  na kuomarisha utaratibu wa pamoja wa shughuli za mashirika yasiyo ya kiserikali.

kwa upamde wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Dr.Stephen Ngwale amesema, kuwa Halmashauri imejipanga kuhakikisha inatimiza Diira na Dhima ya Manispaa ya kushirikiana na wadau ambayo inaadhimia kuwezesha utoaji wa huduma bora na endelevu za kijamii na kiuchumi kwa wakazi wake

katika kikao hicho wadau walipewa mafunzo mbalimbali ya kuwajengea uwezo na kuwapa muongozo wa jinsi taasisi zao zinavyotakiwa kushiriki kikamilifu katika utoaji wa huduma bora kwa jamii hususani utoaji wa elimu juu ya lishe bora, ukatili wa kijinsia pamoja na kutokomeza maambukizi ya virusi vya ukimwi

Akihitimisha kikao hicho Mhe.Juli Sawani Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa ameshukuru wadau hao kwa ushiriki na kuwatakia utekezaji mzuri katika majukumu yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa