• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MB: IRINGA MJINI ATOA SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA MADEREVA BAJAJI

Posted on: February 24th, 2021

Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mhe. Jesca Msambatavangu amewataka madereva bajaji wote wa Iringa mjini kutumia fursa wanazopata katika kazi kuona namna gani wananufaika kiuchumi ili kuzidi kujijenga kimaisha kupitia kazi wanayofanya

Akizungumza  leo tarehe 24.02.2021 na madereva bajaji  katika ukumbi wa orofea Mhe. Jesca amewataka kufanya kazi kwa juhudi na bidii hata ikiwapasa kujitangaza ili kuzidi kuinua biashara yao, ikizingatiwa Iringa sasa ni eneo mojawapo la utalii lenye kuleta maendeleo hivyo kupitia usafiri wao itaweza kuwanufaisha kwa kuwasafirisha wageni

"Ili kuufikia utajiri mkubwa ni lazima kubadili mfumo wa maisha yaani kujali muda pamoja na kuwa na malengo, hii itatusaidia vijana kuwekeza katika sehemu mbalimbali hata ikiwezekena  kujitengenezea akiba ya baadae kuliko kutumia fedha hovyo na kupelekea kutopata faida, inatupasa vijana tujifunze kwa watu waliofanikiwa kwanini, wamefika pale kuliko kuamini imani za kishirikina kama uchawi ambao hauna faida kwa kitu chochote. hivyo juhudi ya mafanikio ni kufanya kazi tu vinginevyo kila kitu utaona ni uchawi na kuishia kulaumu watu" amesema hayo Jesca Msambatavangu

Aidha Mbunge huyo, amewataka madereva bajaji wanapopata changamoto zinazohusiana na vyombo vyao vya usafiri au ushauri wowote wasiache kumjulisha ili kuendelea kusaidia na kutatua shida zinazowakabili maana yeye yupo kwa ajili ya kuwakilisha wananchi wate wa Jimbo la Iringa Mjini

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Mkoani Iringa (RTO)  Yusufu Kamote amewataka madereva bajaji kuzingatia sheria mbalimbali za barabarani ili kijiepusha na adhabu mbalimbali wanazozipata  kwakuwa waliowengi wameonekana kutozingatia sheria hizo

Hata hivyo Ndg. Kamote amewaomba madereva bajaji kuthamini kazi zao na kuwa na heshima katika matumizi ya pesa na kuepukana na matumizi holela yasiyo na faida  kwao

Aidha madereva bajaji wamemshukuru Mbunge wa Iringa Mjini Jesca Msambatavangu kwa kuandaa kikao kilichowakutanisha na viongozi wa bajaji, viongozi wa serikali pamoja na wadau wa sekta mbalimbali katika kujifunza na kutoa kero na changamoto zinozawakabili huku wakionesha imani kuwa zitafanyiwa kazi pia wakiahidi kuzingatia yote waliyofundishwa hasa kuzingatia sheria za barabarani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa