• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MBINU ZA UKUSANYAJI WA MAPATO ILEMELA KUTUMIKA MANISPAA YA IRINGA

Posted on: April 3rd, 2024

Viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wamefanya ziara ya kutembelea Halmashauriya Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya kujifunza namna Halmashauri hiyo inavyotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na mbinu zinazotumika katika ukusanyaji wamapato.

 

Akizungumza baada ya kutembelea stendi ya mabasi na maegesho ya maroli ya Nyamhongolo katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada, ameeleza kuwa safari ya mkoani Mwanza ni kujifunza kwasababu ipo juu katika ukusanyaji wa mapato ingawa Iringa ipo vizuri katika suala la usafi wa mazingira.

 

“Tunaamini kuja kuona tunaweza kufanya vizuri kwa Manispaa ya Iringa, sisi tunayo stendi ambayo ipo nje ya Mji, tunaanzisha kituo kwa ajili ya malori kwahiyo tunaamini kuja Mwanza kujifunza tumepata kitu kizuri zaidi.” Ameeleza Ngwada 

 

Mhe.Ngwada ameongeza kwa kugusia suala la ukusanyaji wa mapato katika Halmashaurizote mbili;

 

“Hapa Ilemela mapato yapo zaidi ya Bilioni 11 lakini sisi Iringa mapato yetu yalikuwa zaidi ya Bilioni 4 na sasa hivi tumekusudia kukusanya zaidi Bilioni 6 na tunaamini kwa yale ambayo tumeyaona hapa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mapato, yetu tutaenda kuyaongeza.”

 

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Dkt. Godfrey Mbagali, ameeleza kuwa Iringa inajivunia kuwa na Halmashauri safi na mwaka 2023 kwa kuwa wa 3 ngazi ya Manispaa.

 

“Tumegundua vyanzo vingine vya mapato, sisi tulikuwa hatuna chanzo cha kupakia na kushushamizigo, pia kuna mahakama inayotembea na sisi utamaduni huu tutaenda kuanzisha kwetu ili watu wote wawe wanalipa kodi na waone kulipa kodi ni fahari.”

 

Dkt.Mbangali ameongeza kwa kuwaalika viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa lengo la kujifunza na kufanya utalii wa ndani kwa Nyanda za Juu Kusini;

 

“Tumejifunza kuwa wale wanaozalisha taka nyingi wana kiwango chao cha kulipa ushuru vilevile wanaozalisha taka chache, kwahiyo tuna vitu vingi tumejifunza nanyi mje kwetu mjifunze mazuri na uwekezaji tulionao na kwa sasa tunaendelea na utalii wa Nyanda za Juu Kusini.” Ameeleza Dkt. Mbangali.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa