• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MEYA IRINGA ATAKA WATUMISHI KUONGEZA KASI UTENDAJI KAZI

Posted on: February 12th, 2022

WATUMISHI katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wametakiwa kuboresha utendaji wao wa kazi ili kuiletea maendeleo halmashairi hiyo.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada, alisema hayo Februari 12, 2022  kwenye sherehe za watumishi wa Manispaa hiyo za kuukaribisha mwaka 2022 ambazo zimekuwa zikifanyika kila mwaka.

Mhe Ngwada  alisema yeye pamoja na madiwani wenzake watawaunga mkono na kutoa ushirikiano kwa watumishi hao ili waweze kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa ufanisi mkubwa.

"Mwaka jana 2021 Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ilifanya vizuri sana katika  mashindano ya usafi wa mazingira   na kushika nafasi ya pili kitaifa hii inaonyesha ni namna gani tunavyoshirikiana sisi madiwani na wataalam,"  alisema Mhe. Ngwada.

Aidha, Mhe. Ngwada amewashukuru watumishi hao kwa ushirikiano mzuri baina yao na Baraza la Madiwani kwa ujumla kwa kipindi  alichoingia madarakani mpaka sasa.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg. Gerald Mwamuhamila amewapongeza watumishi kwa jitihada za utendaji kazi wao katika kila nyanja na kuwaomba waendelee kuwa na moyo wa kizalendo katika kudumisha amani, kuwajibika katika kuleta maendeleo ndani ya Manispaa ya Iringa.

Awali akitoa zawadi kwa Mstahiki Meya pamoja na Mkurugenzi Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ndugu Mlole Ngwada aliwashukuru wajumbe kwa ushirikiano  na kukabidhi zawadi ya kalenda ya Mwaka 2022 kwa Mstahiki Meya yenye picha mbalimbali ambazo zinaonyesha Mstahiki Meya akishirikiana na wananchi katika shughuli za maendeleo.

Mlole pia alikabidhi  zawadi ya bango linaloonyesha picha mbalimbali za miradi ya maendeleo iliyotelelezwa na Halmashauri kwa kaimu Mkurugenzi.

Aidha sherehe hizo zilizohudhuriwa na watumishi wa kada mbalimbali pamoja na Baraza la Madiwani zilipambwa na burudani mbalimbali ikiwemo muziki wa dansi (live band) ambapo walipata fursa ya kuselebuka kwa pamoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa