• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MGANGA MKUU WA MANISPAA YA IRINGA AMEWATAKA WANAWAKE VINARA WA LISHE KUTOA ELIMU YA MLO KAMI

Posted on: August 13th, 2020

Mganga mkuu wa Manispaa ya Iringa Dr.Jesca Lebba amewataka wanawake vinara wa lishe kuhakikisha wanatoa Elimu ya mlo kamili

 ili Kuketa mabadiliko katika jamii.

Dr.Lebba ameyasema hayo leo katika ukumbi wa Hall mark  kata ya Mkimbizi Manispaa ya Iringa wakati akifungua semina ya siku moja iliyowashirikisha wahudumu wa afya katika ngazi ya jamii pamoja na baadhi ya wataalamu wa lishe ngazi ya Halimashauri pamoja na ofisi ya mkuu wa Mkoa.

Dr.Lebba amesema bado wanawake vinara wanao wajibu wa kuelimisha jamii kuanzia katika ngazi ya familia kuhusu mlo kamili na kuwa wao ndio wanatakiwa wawe mfano wa kuigwa wanatakiwa kuhakikisha jamii inajenga utamaduni wa kula  makundi matano ya vyakula ili kuhakikisha wanatokomeza tatizo la udumavu na utapiamlo.

Dr.Lebba anashangazwa na takwimu za utapiamlo katika Mkoa wa Iringa kuwa ni asilimia 47 na kuwa Mkoa unaongoza kwa kushika nafasi ya pili kitaifa ilihali uzalishaji wa  mazao ya chakula  ni wa kiwango cha juu.

Akitoa mada katika mafunzo hayo Afisa lishe  Manispaa ya Iringa Bi.Anzael Msigwa amesema ni vyema kina mama wajawazito kuhakikisha wanawahi kuanza clinic mapema kabla ya miezi mitatu ili kunusuru afya ya mtoto na udumavu pamoja na magonjwa mengine.

Msigwa anasema ni vema mtoto apate vichanganshi tangu akiwa mdogo ,pamoja na mama mjamzito kula mlo kamili,na kupata huduma za awali toka kwa wataalam pindi anapowahi kuanza clinic kwani kwa kufanya hivyo Itasaidia sana mama mjamzito kujifungua mtoto mwenye afya njema .

Happiness Siliwa muwezeshaji kutoka lishe endelevu anasema mradi huu wa miaka mitano  umumefadhiliwa na USAID kwa kushirikiana na wadau wengine kama  Deloit,African Academy, na Save the Children unafanya kazi katika Mikoa minne ambayo ni Iringa,Dodoma,Morogoro na Rukwa,na umepanga kuwafikia wanawake wapatao milioni moja na laki tano,vijana pamoja na watoto.

Mafunzo hayo yenye jumla ya washiriki thelasini yamefunguliwa na kufungwa na Mgeni rasmi Mganga mkuu wa Manispaa ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa