• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MH. PINDA AWATAKA WABUNGE NA MADIWANI KUTEKELEZA MAAGIZO YA SERIKALI KULINGANA NA ILANI YA CCM

Posted on: January 13th, 2021

Picha ikiwaonesha baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wote wa Mkoa wa Iringa waliohudhuria katika mkutano wa Mlezi wa Chamà Cha Mapinduzi Mh. Mizengo Pinda


Waziri Mkuu Mstaafu wa awamu ya Nne Mh. Mizengo Peter Kayanza Pinda ambaye pia ni Mlezi wa Chama Chama Mapinduzi Mkoa wa Iringa amekutana na kuzungumza na Wabunge pamoja Madiwani wote wa Mkoa wa Iringa kuhusiana namna na utekelezaji wa majukumu yao hasa Ilani ya CCM, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano CCM Mkoa leo Tarehe. 13.01.2021

"Hata hivyo utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa miaka mitano iliyopita chini ya Rais wangu Magufuli umetusaidia sana nchini kwetu hadi tulipo fikia hvyo basi hata nyie mnatakiwa kwenda kufanyika kazi ili ifikapo mwaka 2025 tusihangaike kuzitafuta kura"

Aidha ikumbukwe kuwa Mkoa wa Iringa umefanikiwa kuwa na Wabunge wote na Madiwani wote waliochaguliwa na wananchi kutoka chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu wa 2020

Pia Mh. Pinda amewaonya viongozi hao kutobaki na makundi ya kipindi cha uchaguzi hivyo kuziunganisha nguvu zao kwa pamoja na kufanya kazi kwa maendeleo ya nchi na wananchi kwa uzalendo

"Rushwa tuipinge jamani, tufanye kazi kwa kuzilinda haki za wananchi hivyo wewe kama Mbunge au Diwani unapaswa kupinga rushwa yaani usipokee wala usitoe rushwa" Mh. Pinda alisema hayo

Kwa upande mwingine Mh. Pinda amewataka viongozi hao kujenga mahusiano mazuri ndani ya Jimbo na kata kwa watumishi wenzao na sio kujiona ni bora zaidi, huku akihamasisha kuyatunza mazingira pamoja na kujitegemeza kimapato ndani ya chama

Hata hivyo Mh. Pinda amewaamuru viongozi hao kujiwekea utaratibu wa kwenda kukagua miradi mbalimbali inayofanyika katika Halmashauri zao kwa kuangalia kama Ilani iliyonadiwa kipindi cha Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ya Chama Cha Mapinduzi inavyotekelezwa

Hata hivyo Mh. Pinda ametoa agizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa kuendelea kuzitambua na kuzisaidia sekta binafsi katika shughuli zao kwani wamekuwa na mchango mkubwa kwa serikali kupitia ulipaji wao wa kodi na tozo zote kwa kiserikali

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Ally Hapi amemshukuru Mh. Pinda kwa ujio wake wa kuja kukutana na viongozi hao huku akiwomba wabunge kuwatumikia wananchi kwani nguvu kubwa ya ushindi wao imetokana na Madiwani hao

Saidi Rubeya ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Iringa amewashukuru viongozi wote waliofika kikaoni hapo na kuwaomba kwenda kuyatendea kazi yote waliyoelekezwa

Akifunga kikao hicho Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Ndugu, Dr. Abel Nyamahanga amewatakia utekelezaji mwema wa Ilani ya Chama Cha Mapindzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa