• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MHE. LONDO AWATAKA WATAALAMU KUKUMBUKA DHAMANA YA UONGOZI WAO

Posted on: October 10th, 2023

Wataalamu katika sekta mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wameaswa kutambua dhamana ya uongozi wao ni kuwatumikia watanzania kwa kuhakikisha wanaleta maendeleo chanya katika jamii.

Hayo ameyasema Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge-TAMISEMI Mhe. Dennis Londo wakati wa ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Iringa uliofanyika Oktoba10, 2023.

Mhe.Londo amewapongeza wataalamu wote kwa juhudi waliyoionyesha katika kukamilisha miradi muhimu ndani ya Manispaa na kuwaasa kukumbuka dhamana ya uongozi wao nikuwatumikia watanzania.

“Tumekagua miradi yote kuanzia Soko la Mlandege (Mwamwindi), Stendi ya Igumbilo na barabara ya kutoka Don Bosco kuelekea Mawelewele hakika niwapongeze, pia nahitaji Wataalamu wote watambue dhamana ambayo wamepewa na watanzania wote nikupanua miundombinu, kuongeza tija na kuhakikisha mapato ya Serikali yanaongezeka”Amesema Mhe. Londo

Mhe.Londo ameongeza kwa kusema kuwa Kamati ya Kudumu ya Bunge-TAMISEMI imegundua ujenzi wa jengo la utawala haukuzingatia viwango.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndg. Kastori Msigala amemshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuzidi kuleta maendeleo kwa wananchi.

“Tunamshukuru sana Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi za miradi ya ULGSP zaidi ya Tsh. Bilioni 23 kwa mwaka wa fedha 2013/2014-2017/2018 na kisha kuongezewa muda hadi mwaka 2019/2020 kwaajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo; Ujenzi wa barabara ya Samora kuelekea Mashine tatu mpaka Frelimo, Ujenzi wa barabara ya Don Bosco kuelekea Mawelewale kwa kiwango cha lami Kilomita 2.8 kwa lengo la kuboresha huduma za usafiri”

Aidha Ndg. Msigala ameendelea kusema Ujenzi wa Soko la kisasa la Mlandege umegharimu Tsh.Bilioni 3.7, Ujenzi wa Stendi Kuu ya Igumbilo ambayo inauwezo wa kupokea mabasi 60 na magari madogo 20 ambapo kwa siku inapokea magari 200 na miradi mingine.

Mkuuw a Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amesema amepokea maelekezo yote yaliyotolewa na Kamati ya Kudumu ya Bunge-TAMISEMI na kuahidi kuyafanyia kazi kwa vitendo na kutoa taarifa ya utekelezaji kila robo ya mwaka wa fedha kwenyekamati hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa