• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MHE, MGEMA AFURAHISWA NA UBUNIFU WA MANISPAA YA IRINGA MAONESHO YA NANE NANE 2022

Posted on: August 5th, 2022

Kaimu mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Mhe.Pololet kamando  Mgema amefurahiswa na ubunifu uliofanywa na wakulima,wafugaji na wavuvi  wa Manispaa ya Iringa katika maonesho ya nanenane  2022 yanayofanyika kitaifa Jijini Mbeya.

'Nimefurahishwa sana na ubunifu wa hali ya juu  mliofanya katika maonesho haya mna bidhaa nzuri zenye ubora, uwepo wa shamba darasa la parachichi inaleta hamasa kwa jamii kuja kwa wingi kujifunza kilimo hicho hakika Manispaa ya Iringa mko juu alisema Mgema'

Mhe.Mgema amesema hayo leo tarehe 5/8/2022  alipokuwa akitembelea banda la Manispaa  ya Iringa ikiwa ni utaratibu uliowekwa viongozi mbalimbali kutembelea mabanda ya maonesho ya nane nane kila siku.

Dr.Stephen Ngwale ni Mkuu wa Idara ya mifugo na uvuvi Manispaa ya Iringa amesema Manispaa ya Iringa ni miongoni mwa Halmashauri,taasisi mbalimbali za Kiserikali na zisizo za kiserikali ambazo zinashiriki maonesho ya nanenane kitaifa Jijini Mbeya,katika ushiriki huo Manispaa imefanikiwa kuwawezesha wakulima na wafugaji hamsini na saba (57 )pamoja na wataalam kumi na sita (16) kushiriki maonesho hayo kwa lengo la kujifunza,kutoa elimu, na kushindana ngazi ya kanda na kitaifa kwa kuzingatia kauli mbiu Ajenda 10/30 Kilimo ni biashara shiriki kuhesabiwa kwa mipango bora ya kilimo,mifugo na uvuvi.

Aidha maonesho ya nane nane 2022 kitaifa  yanafanyika katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya ambapo yalianza tarehe 1 agosti na yatamalizika tarehe 8 Agosti mwaka huu .

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa