• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MKURUGENZI MANISPAA AWATAKA WALIMU WA SEKONDARI KUFANYA KAZI KWA WELEDI ILI KUCHOCHEA MAENDELEO YA ELIMU

Posted on: February 15th, 2019

Mkurugenzi  wa Manispaa ya Iringa Ndg Hamid Njovu, amewataka  walimu wote wa shule za Sekondari zilizopo Manispaa ya Iringa kufanya kazi kwa weledi  ili kuchochea maendeleo ya kielimu , ameyasema hayo  katika ukumbi wa Lugalo jana ,Katika  kikao cha walimu kilifanyika kwa lengo la kuboresha taaluma na kusikiliza changamoto za walimu pamoja na kuzitolea ufafanuzi. Amesema tatizo la  kuchelewa kwa baadhi ya walimu kupanda daraja linashugulikiwa kwani utaratibu wa kupandisha madaraja unafanyika kila mwaka na kuwa walimu wanaongezeka kila mwaka,hivyo walimu wawe wavumilivukwani serikali inashughulikia suala hilo.

 Kwa upande wake afisa elimu sekondari  Tupe kainga,amesema mikakati  waliyonayo katika kuhakikisha wanaboresha taaluma ni  kuhakikisha wanaongeza  ufaulu kwa wanafunzi na kutatua changamoto za wanafunzi  kwa  kuhakikisha  shule zote za Manispaa  wanafunzi  wanapata  chakula cha mchana ili waweze kuwa na usikivu,pia kuhakikisha   changamoto zinazowakabili walimu zinatafutiwa ufumbuzi wa haraka ili kuwafanya waweze kufundisha kwa ufanisi.

Bestnest  Mwakakamale ni mwalimu wa shule ya sekondari  Lugalo  Amekiri kuwa  kuwepo kwa changamoto ambazo zinapelekea wanafunzi kutokufanya vizuri  na kuwa hali hiyo inasababishwa na baadhi ya walimu kutokuwa vizuri  kiuchumi, kwani wana madeni mengi kutokana na mishahara kutokupanda kwa muda, pia walimu wengi hawajapanda madaraja kwa muda mrefu hii inapelekea kushindwa kufanya vizuri katika majukumu yao.

Aidha Mwakakamale  amesema sababu nyingine inayofanya wanafunzi kutokufanya vizuri katika masomo yao ni kuanza mahusiano ya kimapenzi  wakiwa shuleni hivyo kushindwa kuzingatia masomo hivyo amewaomba wazazi kufatilia  nyendo za wanafunzi hao kwa ukaribu ili wazingatie masomo kwani ndio msingi wa maisha yao ya badae.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa