• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MKURUGENZI WA MANISPAA YA IRINGA AWATAKA WATUMISHI KUTOJIINGIZA KATIKA MAKOSA YA JINAI NA KUTUNZA HESHIMA YA KAZI

Posted on: July 9th, 2020

Mkurugenzi wa Halimashauri ya Manispaa ya Iringa Hamid Njovu amewataka watumishi kutojiingiza kwenye makosa ya jinai kwani wanapofanya hivyo wanampa wakati mgumu kama mwajiri


Njovu amesema kuna baadhi ya watumishi wamekuwa watovu wa  nidhamu kwa kujiingiza katika makosa ya jinai na wengine wamekuwa wakilewa kupindukia jambo ambalo linaleta sifa mbaya kwa mtumishi wa umma.


Aidha Njovu amesema lengo la mtandao huo ni kuunga mkono juhudi za serikali iliyopo madarakani inayo ongozwa na mh.Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli hivyo ni jukumu lake kama mwajiri kuwafata watumishi wake na kuwapa uwanja mpana wa kueleza changamoto zao na kuona namna ya kuzitatua ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi.


Omari Mkangama ni Afisa utumishi Manispaa ameelezea haki za mtumishi na kusema kuwa mtumishi ana haki ya kwenda likizo,anahaki ya kuomba uhamisho ana haki ya kupata stahiki zake mbali mbali ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za utumishi wa umma.



Pia amewataka watumishi kufuata taratibu na kanuni pindi wanapokuwa na madai au maombi kwani baadhi yao wamekuwa wakiruka ngazi jambo ambalo linakiuka  kanuni na taratibu zilizo wekwa.


Mwisho wajumbe walipata fursa ya kutoa kero zao ambapo baadhi walijikita katika maeneo ya kutoku panda madaraja kwa muda mrefu ilihali wanasifa,kutokulipwa stahiki zao kama malipo ya kuhama,malipo ya likizo.nk.


Akijibu kero hizo,Mkurugenzi Hamid njovu aliahidi kuzishughulikia .pia mesema ataandaa kikao cha watumishi wote pamoja na wakuu wa idara ili waweze kukosoana ana kwa ana,kwani njia hii itasaidia kupunguza kero zisizo za lazima.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa