• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MKURUGENZI WA MANISPAA YA IRINGA NA WAANDISHI WA HABARI WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI INAYOENDEA KUTEKELEZWA 2015 - 2020

Posted on: August 18th, 2020

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Hamid Njovu leo  amefanya ziara ya kukagua na kutembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kipindi cha mwaka 2015-2020 katika Halmshauri ikiwa ni mafanikio ya serikali ya awamu ya tano chini ya jemedari Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli.

Njovu amesema lengo la ziara hiyo ni kuwaonyesha kwa vitendo wanahabari pamoja na umma namna ambavyo serikali inawajali wananchi wake na kuwajengea miradi hiyo katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya Afya,Elimu,Kilimo na mifugo,ujenzi,utawala,biashara maendeleo ya jamii na Maji.

Miradi iliyotembelewa leo ni pamoja na ujenzi wa nyumba ya mwalimu kigonzile shule ya msingi,ujenzi wa vyumba vya madarasa Mtwivila shule ya msingi,ujenzi wa vyumba vya madarasa na bweni Iringa girls,ukarabati wa Lugalo sekondari,ujenzi wa jengo la uchunguzi Hospitali ya Frelimo, na ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Isakalilo.

Awali akiongea katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard ksesela amempongeza Mkurugenzi Kwa kazi nzuri anayoifanya ya kusimamia miradi hiyo yenye ubora na ambayo imeleta tija kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa.

Ziara hiyo ya siku mbili imeanza leo 18/8 na itamalizika kesho tarehe 19/8 mwaka huu na imewashirikisha Waandishi wa habari Ishirini na tano kutoka vyombo mbalimbali vya habari,pamoja viongozi mbalimbali wa serikali wakiwemo wakuu wa Idara na vitengo kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa