• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA IRINGA WAHAIRISHWA

Posted on: November 8th, 2018

Mkurugezi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndg. Hamid Njovu amehairisha kikao cha Baraza la Madiwani lililopaswa kufanyika leo katika ukumbi wa Manispaa kwa lengo kubwa la kupitia taarifa za robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2018/2019 kutokana na akidi ya wajumbe kutotimia katika kikao hicho.

 “Kwa mujibu wa kanuni namba 9 kifungu cha 4 nina mamlaka ya kuhairisha mkutano huu na nitauitisha tena baada ya siku saba ili kufanyika tena” amesema Njovu.

Aidha akizungumza na wanahabari katika kikao kifupi amesema kuwa, kitendo hicho kimeleta athari katika utekelezaji wa shughuli za Halmashauri ikiwemo upotevu wa muda pamoja na fedha ambazo zimetumika katika kuandaa kikao hicho.

Kwa upande mwingine Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa Ndg. Saidi Rubeya katika mkutano wake na waandishi wa Habari ameeleza kuwa Madiwani wa Chama cha Mapinduzi wako sahihi kabisa kugoma kuhudhuria katika kikao cha baraza,amesema sababu za msingi zilizozungumzwa na madiwani kwa uwongozi wa chama, zimeonyesha dhahiri kuwa madiwani hao wakosahihi kutokuhudhuria katika kikao cha Baraza.

Nae diwani wa kata ya Kwakilosa mheshimiwa Nzala Ryata amesema, baadhi ya sababu za kutohudhuria kikao hicho ni uwendeshwaji mbovu wa vikao vya baraza, kuwepo na hali ya upendeleo wa chama kimoja pamoja na kuwepo kwa hali ya mabavu wakati wa vikao.

Baraza la madiwani lilikuwa na lengo la kupitia agenda mbalimbali ikiwemo kuthibitisha agenda za mkutano wa baraza la madiwani wa tarehe 07.11.2018, pili maswali na majibu ya papo kwa papo kwa mujibu wa kanuni ya 24, kuthibitisha mihutasari ya mikutano ya Baraza la Madiwani ya tarehe 04.09.2018, 07.09.2018 na tarehe 21.09.2018, Taarifa za utekelezaji wa yatokanayo na mkutano wa Baraza la Madiwani wa tarehe 04.09.2018, Taarifa ya utekelezaji wa Maendeleo kwa kipindi cha ya robo ya kwanza (Julai – September,2018), Taarifa ya kudhibiti UKIMWI kwa kipindi cha robo ya kwanza (Julai – Septemba 2018), Kupokea taarifa, kuthibitisha muhutasari ya kamati za kudumu za Halmashauri ya Manispaa ya Iringa pamoja na maswaali na majibu kwa mujibu wa kanuni ya 23 pamoja na hoja binafsi kwaa mujibu wa kanuni ya 20.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa