• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE: QUEEN AMEWATAKA WANANCHI KUZINGATIA USAFI WA MAZINGIRA

Posted on: October 2nd, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Queen Sendiga amesema ni vizuri jamii ikawa na utamaduni wa usafi endelevu ili kujiepusha na magonjwa ya mlipuko na kuifanya Manispaa ya Iringa kuwa katika mazingira safi na salama

Sendiga ameyasema hayo leo  eneo la mashine tatu mara baada ya kukamilika kwa zoezi la usafi wa mazingira lililofanyika kwa ushirikiano mkubwa kati ya viongozi wa Serikali, Chama cha Mapinduzi na wafanyabiara ambapo alipata fursa ya kuongea na wananchi hao

"Usafi ni jukumu la kila mmoja wetu, usisubiri kuhimizwa kufanya usafi  hivyo kila mmoja atimize wajibu wake na nimefurahi kuona mmejitokeza kwa wingi na mmeyatendea kazi maelekezo niliyowapa miezi mitatu iliyopita  kwa sasa hali ya usafi inaridhisha alisema Sendiga

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Moyo ameagiza baadhi ya wafanya biashara kusafisha mitalo iliyo katika maeneo yao kwani imekuwa likisahaulika kusafishwa

Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada ametoa onyo kwa wale wanaochukua  vifaa vya kuwekea taka vilivyowekwa maeneo mbalimbali kwa lengo la kuweka mji safi kuacha mara moja tabia hiyo na kuwaagiza wafanyabiashara kuwa walinzi wa vifaa hivyo na kuwakamata watakaobainika kufanya hivyo

Awali akiongea na wajasiliamali Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mhe. Jesca Msambatavangu amewapongeza wafanyabiashara kujitokeza kwa wingi kufanya usafi  amesema wao ni mfano wa kuigwa

Naye Katibu mkuu mtendaji wa wajasiriamali (machinga) Ndg. Joseph Mwanakijiji amesema wanawashukuru viongozi wote wa Manispaa na Mkoa kwani wamekuwa wakipata ushirikiano  katika kutekeleza majukumu yao na kuahidi kudumisha ushirikiano huo kwa maslahi yao na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa