• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MNEC ASAS KUTOA MIL.100 KWA MACHINGA MANISPAA YA IRINGA

Posted on: March 14th, 2023

Mjumbe  Halmashauri kuu Taifa(Mnec) Ndugu Salim Abri Asas ameahidi fedha kiasi cha shilingi milioni 100 kwa wafanyabiashara wadogo (Machinga)  lengo likiwa ni  kuwasaidia kukuza mitaji yao na kufanya ujenzi wa vibanda vya kufanyia biashara.

Abri ametoa ahadi hiyo leo Machi 14  2023 katika uwanja wa Samora kwenye Mkutano wa dharula baina ya wafanyabiashara hao na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Halima Dendego ambao ulilenga kutatua baadhi ya changamoto zilizojitokeza wakati wa kuwapanga Machinga katika maeneo rasmi waliyotengewa na Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa ajili ya kufanyia biashara zao.

Natambua changamoto zenu wengine hamna vibanda vya kufanyia biashara na wengine hamna mitaji hivyo nitatoa shs milioni 100, ambapo shs milioni 50 zitumike kukuza mitaji yenu na 50 zitumike kujenga vibanda vya kufanyia biashara alisema Abri.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Halima Dendego amewataka Machinga kuwa watulivu na kuwahakikishia utaratibu mzuri wa kuwapanga ambapo yeye ndiye atasimamia zoezi hilo na kuhakikisha kila mfanyabiashara mdogo anapata eneo la kufanyia biashara.

Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe.Ibrahim Ngwada amemshukuru Mkuu wa Mkoa,Mjumbe wa Halmashauri  kuu Taifa,Katibu wa CCM  Mkoa,Secratarieti ya CCM jkwa jitihada kubwa walizozifanya za kutatua changamoto za wafanyabiadhara wadogowadogo.

Ngwada amesema Halmashauri imetenga fedha kiasi cha shs milioni 150 ambazo zitawanufaisha wafanyabiashara wadogo ambao watakaokidhi vigezo na kujiunga na SACCOS pia amesema Halmashauri imeanza ujenzi wa vyoo vitakavyotumika eneo hilo ambavyo vitatosheleza mahitaji ya wafanyabiashara hao.

Zoezi hilo la upangaji wa Machinga litaendelea tena Machi 15  2023 katika eneo la Soko la Amani Mwamwindi lililopo eneo la Mlandege na kuongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Halima Dendego.


Imetolewa na  

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Manispaa ya  Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa