• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MTAA KWA MTAA NA MSIGALA: Msigala Awaonya Watendaji Wazembe

Posted on: November 6th, 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndg. Kastori Msigala amewataka watendaji wa Kata na Mitaa kutimiza wajibu wao kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuhakikisha Manispaa inapata Maendeleo.

Msigala ameyasema hayo katika muendelezo wa Ziara yake Maarufu kama MTAA KWA MTAA NA MSIGALA ambayo inafanyika kila Jumamosi na Jumapili akiambatana na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri kwa lengo la Kukagua leseni za biashara, Ushuru wa huduma (Service levy), Viwanda vikubwa na vidogo, Ushuru wa taka, Vibali vya ujenzi, Usafi wa mazingira katika mitaa na Ukaguzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri kwa fedha za ruzuku kutoka Serikali kuu na mapato ya ndani.

“Watendaji nataka fedha za Halmashari mara moja au hatua mlizochukua kwao, kwasababu haiwezekani wafabiashara ni wengi na mapato yanayokusanywa serikalini hayaridhishi, nikawa najiuliza ni kwanini baadhi ya wafanyabiashara hawana leseni na wanafanya biashara?” amehoji Msigala alipokuwa ziarani Kata ya Kitwiru.

Akikagua miradi Msigala amewataka wataalamu kuhakikisha fedha zinazotolewa zinatumika ipasavyo ili miradi hiyo iweze kutatua changamoto za wananchi.

Miradi mingine iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa Shule ya Sekondari Kitwiru, Shule ya Msingi Kitwiru na Ujenzi wa nyumba ya mwalimu Isakalilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA May 15, 2023
  • TANGAZO KWA UMMA May 19, 2023
  • KARIBUNI June 12, 2023
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • ZIARA YA KIKWETE IRINGA FURAHA KWA WATUMISHI WA UMMA

    November 22, 2023
  • DENDEGO AWAASA WAFANYABIASHARA KUEPUKA UJENZI HOLELA

    November 21, 2023
  • OPERESHENI IRINGA UCHAFU SASA BASI YAANZA RASMI

    November 21, 2023
  • MWAROBAINI WA WAFANYABIASHARA HOLELA WAPATIKANA IRINGA

    November 16, 2023
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa