• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MWAROBAINI WA WAFANYABIASHARA HOLELA WAPATIKANA IRINGA

Posted on: November 16th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego ameshuhudia zoezi la utiaji saini lililofanyika Novemba 15, 2023 katika Uwanja wa Mwembetogwa baina ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Jumuiya ya Wafanyabiashara, Umoja wa Wafanyabiashara Masoko na Shirikisho la Wamachinga Wilaya ya Iringa katika makubaliano ya operesheni safisha mji yenye kauli mbiu ya “IRINGA UCHAFU SASA BASI” inayoratajiwa kuanza tarehe 20/11/2023.

Zoezi hilo limesimamiwa na Mwanasheria wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndg. Nicholaus Mwakasungula na kutiwa saini na Mstahiki Meya Mhe. Ibrahim Ngwada na Mkurugenzi Ndg. Kastori Msigala kwa upande wa Manispaa ya Iringa, huku katika Jumuiya ya Wafanyabiashara, Umoja wa Wafanyabiashara Masoko na Shirikisho la Wamachinga Wilaya makubaliano hayo yametiwa saini na Mwenyekiti na Katibu.

Maeneo yanayokusudiwa kufanyika operesheni hii ni Mashine tatu, Miyomboni, Magari mabovu, Zizi, Ipogolo, Mlandege na Kihesa, ikilenga kufanya usafi katika Mifereji na barabara za mji, Maeneo ya masoko, Stendi, Hospitali, Maeneo ya Magereza na Kuondoa Wafanyabiashara holela waliopo vichochoroni.

Ili kukamilisha zoezi hili hatua za awali za kupita na kuwajulisha wafanyabiashara holela kuhama maeneo yasiyo rasmi na kuhamia maeneo rasmi, zitachukuliwa na Kamati inayoongozwa na Mkuu wa Mkoa Iringa na Kamati ya Usalama Mkoa, Mkuu wa Wilaya ya Iringa na Kamati ya Usalama Wilaya, Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa na Wilaya, Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Viongozi wa Umoja wa Wafanyabiashara Masoko na Viongozi wa Shirikisho la Wamachinga Wilaya ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa