• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MWENGE WA UHURU UMERIDHIA MIRADI YOTE SITA (6) MANISPAA YA IRINGA

Posted on: May 2nd, 2023

Mwenge wa uhuru kitaifa 2023 umeweka jiwe la msingi kwenye mradi wa kituo cha afya Itamba  kilichopo Kata ya Mkwawa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa chenye thamani ya shilingi milioni.235,647,000/=.mradi ambao umetekelezwa kwa fedha za mapato ya ndani.

Tukio hilo limefanyika leo tarehe 2.05.2023 mara baqda ya mapokezi makubwa na yaliyojaa shamra shamra katika Uwanja wa Shute ya msingi Kitwiru ambapo wananchi walijitokeza kwa wingi.

Akisoma tarifa ya mradi mganga Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya iringa Dkt.Godfrey Mbangali amesema mradi huo utanufaisha wananchi wa vijiji...ambao watapata huduma za afya katika zahanati hiyo ambao awali walikuwa wanatembea umbali mrefu kwenda Hospitali ya Wilaya ya Frelimo.

Ndugu Abdalla Shaib Kaim kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa amesema amekqgua nyaraka zilizotumika kufanya manunuzi wakati wa ujenzi, kukagua jengo  na kuridhishwa na utekelezaji wa mradi huo, pia amewataka wataalam kuwa makini wakati wa utekelezaji wa miradi ili iiendane na thamani ya fedha wanazotumia ikiwa ni pamoja na kukamilisha miradi kwa wakati.

Aidha  Shaibu ameridhishwa na miradi yote  sita (6) iliyokaguliwa.zinduliwa.kufunguliwa na mbio za Mwenge wa uhuru mwaka 2023.

Sambamba na hayo Kim amewataka wananchi kutunza vyanzo vya maji  kwa ustawi wa viumbe hai na Taifa letu kama ambavyo kauli mbiu ya mwaka huu inavyosema.

I metolewa na kaim mkuu wa kitengo cha Mawasiliano  Manispaa ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa