• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MWENGE WAZINDUA MIRADI YA SH.BILIIONI 1.5 MANISPAA YA IRINGA

Posted on: September 3rd, 2022

Mwenge wa uhuru  umezindua, kukagua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mitano ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.5

Akiongeq katika maeneo ya miradi leo tarehe 3/9/2022, Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa ndugu Sahili Nyanzabara amewataka wataalam wa ujenzi kufuata miongozo iliyowekwa na wizara wakati wa ujenzi wa miradi ili kuepuka kufanya kazi chini ya kiwango ama kinyume na miongozo hiyo


Nyanzabara amesema kutofuata maelekezo yaliyotolewa katika miongozo ni jambo ambalo  halipaswi kuendelea kutokea vinginevyo wataalam wajitathmini katika eneo hilo .

Miradi iliyopitiwa na Mwenge wa uhuru mwaka 2022 katika Manispaq yaIringa ni Ujenzi wa jengo la madarasa mawili  na ofisi moja, Ujenzi wa shule  ya Sekondari Tagamenda,ujenzi wa shule ya mpya ya Sekondari ya Isakalilo, Ujenzi wa wodi mbili na jengo la upasuaji katika Hospitali ya Flerimo,Ujenzi wa barabara ya lami Mtwivila-Darajani- Ikonongo na ukaguzi wa vikundi vya ujasiliamali vya vijana na wanawake

Katika ziara hiyo mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Mohamed Moyo amesema amepokea maelekezo yote yaliyotolewa na kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa na kumshukuru kwa kukubali kuizindua na ,ameahidi kuyafanyia kazi mara moja,maelekezo yote yaliyotolewa na Kiongozi huyo.

Mhe Moyo  amemshukuru Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha  nyingi  za miradi  katika sekta ya Afya, Elimu na Miundombinu katika Manispaa  ya Iringa ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Jesca Msambatavangu ni Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini amewashukuru wataalam kwa kazi nzuri wanayofanya na kusisitiza matumizi mazuri ya rasilimali fedha zinazolewa na Serikali kwa manufaa ya umma.

Nyanzabara ametumia fursa hiyo kukemea vitendo vya rushwa,ameawakumbusha wananchi kuzingatia mlo kamili,kujikinga na malaria na kukemea vikali matumizi ya dawa za kulevya.

Aidha amewasisitiza  wanachi kuhakikisha wanahesabiwa kwa maenfeleo na ya Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa