• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

NACOPHA WATOA MSAADA, MAPAMBANO DHIDI YA CORONA IRINGA

Posted on: October 12th, 2021

Shirika lisilo la kiserikali la Mtandao wa   watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI (NACOPHA)  kupitia Mradi wa 'hebu tuyajenge' umekabidhi pikipiki mbili katika Halmashauri mbili za wilaya ya Iringa .


Akizungunza Meneja wa mradi huo kanda ya Mbeya Ndugu. Ferdnand Mazuni amesema utolewaji wa pikipiki kama hizo, pia zimetolewa kwenye Halmashauri 15 nchini zinazotekeleza mradi huo.

Hata hivyo ameendelea kusema kuwa pikipiki hizo zitasaidia kwa watenda kazi kufuatilia mwenendo wa mradi huo.

"Kwa mwitikio wa mapambano dhidi ya UVICO 19 shirika hili limekabidhi vifaa mbalimbali vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona Kwa watu wenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI " alisema Ferdnand

Kwa upande wake Mwenyekiti wa  Umoja wa watu  wanaoishi na virusi vya UKIMWI (KONGA), Halmashauri ya Iringa Ndg. Justin Mfilinge akishukuru Kwa msaada huo alisema kuwa vitendea kazi  hivyo ni hatua kubwa ya Utekelezaji wa shughuli zao za kila siku na watahakikisha watavifanyia kazi kama inavyotakiwa.

Aidha katika maelezo yake kabla ya kupewa msaada wa pikipiki hizo wamekuwa na chanagamoto ya kutumia gharama zao binafsi katika kufuatilia taarifa kwenye Kata, ila sasa wataepuka gharama hizo.

Naye  mratibu wa  UKIMWI Tiba  Katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa   Dk. Godfrey Mtunzi alisema kuwa msaada huo  umekuja wakati husika na kuwa itawasaidia katika mapambano dhidi ya UVICO 19.

Pia alisema vitakasa mikono vilivyotolewa pamoja na barakoa vitasaidia katika mapambano ya UVICO 19 Katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa hasa maeneo ya kwenye Kata.

Kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Omary Mkangama amepongeza jitihada hizo za wadau hao katika mapambano dhidi ya UVICO 19 katika Halmashauri hiyo.

Vilevile alisema Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imeendelea na mapambano ya UVICO 19 kwa kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na wataalam wa afya na kutaka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari pamoja na kupata Chanjo ya UVICO 19 katika maeneo yote yanayotolea huduma hizo ikiwemo Ofisi zote za Kata.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa