• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

NAIBU KATIBU MKUU TAIFA ANG’OLEWA SHIUMA • Tuhuma za Uchochezi na Vurugu.

Posted on: September 1st, 2023

Shirikishola Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA) limetangaza kumvua madaraka Naibu KatibuMkuu wake, Ndg. Joseph Mwanakijiji na kumzuia kufanya shughuli zozotezinazohusiana na taasisi hiyo mahali popote nchini.

Tangazola kumng’oa katika nafasi hiyo limetolewa na Katibu wa SHIUMA Taifa, VenatusMagayane katika kikao cha kushughulikia na kumaliza changamoto za uongozi wamachinga wa mjini Iringa na kiini cha migomo na maandamano ambayo wamekuwawakiyafanya mara kwa mara.

“KamatiKuu ya SHIUMA iliyokutana hivi karibuni imejiridhisha pasipo shaka kwambaJoseph Mwanakijiji amakosa sifa za kuendelea kuwa Naibu Katibu Mkuu wa SHIUMAkwasababu ya mienendo yake.” Amesema Magayane

KatibuMagayane ameingeza kwa kusema; Baada ya kufuatilia migogoro na vurugu za marakwa mara zilizokuwa zikifanywa na machinga wa Iringa alisema wamebaini kiongozihuyo alikuwa sehemu yake kinyume na katiba ya SHIUMA.

AwaliMwenyekiti wa SHIUMA, Matondo Masanja aliutangaza uongozi wa muda wa ShirikishoIringa Mjini kuwa utakuwa na wajibu wa kuwaunganisha na kuwasajili machinga kablaya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu wa viongozi wake.

Viongozihao ni pamoja na Kessy Dandu nafasi ya Mwenyekiti, Frank Mwambepali -MakamuMwenyekiti, Abubakar Sadick- Katibu, Falahani Ismail- Naibu Katibu, IbrahimBakari-Mhasibu na Maneno Nyambuya-Afisa Habari.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa