• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

NAIBU MEYA: WANANCHI CHANGIENI GHARAMA ZA USAFI

Posted on: January 8th, 2024

Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa na Diwani wa Kata ya Kihesa Mhe.Julius Sawani amewaonya wananchi wanaotupa taka kwenye madampo yaliyotengwa maalumu kwa ajili ya masoko na badala yake wafuate utaratibu waliowekewa wa kutupa taka kwenye magari ya taka yanayopita mara mbili kwa wiki katika maeneo yao.

Akiongea na wananchi hao katika zoezi la uondoaji wa taka katika dampo la soko la Ngome-Kihesa Mhe.Sawani amesema kuwa wananchi wachangie gharama za ukusanyaji wa taka katika maeneo yao, na sio kuipa Halmashauri mzigo wa kuondoa taka wanazotupa katika madampo.

"Tumerudi kwenye utaratibu, kila Kaya inatakiwa ichangie Shilingi elfu moja kwa ajili ya gari la ukusanyaji taka linalopita kwenye maeneo ya mitaa hivyo utaratibu wa kuweka taka kwenye kontena au madampo ni kwa ajili ya masoko, hospitali na kwenye mashule”Aamesema Sawani

Aidha Sawani amesema kuwa Halmashauri inafanya jitihada kubwa kuzingatia usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Iringa, tatizo linajitokeza kwa baadhi ya wananchi kutokuwa na elimu au kutochangia gharama za uzoaji taka na kupelekea kutupa taka maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye madampo ya masoko'  mashuleni hivyo kuleta adha ya uchafuzi wa mazingira.

Sawani ameshauri kuwa Watendajii wa Kata, Mitaa  na Wenyeviti wa Serikali za Miitaa watoe elimu juu ya uchangiaji wa gharama za uzoaji taka, pia kuwekwe mabango ya onyo kwa mwananchi yeyote atakayebainika kumwaga taka maeneo yasiyoruhusiwa achukuliwe hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kutozwa faini.

Aurelia Sanga ni Mfanyabiashara katika Soko la Ngome anakiri kuwepo kwa mabadiliko makubwa kwani awali eneo lilikiwa haliridhishi na kuhatarisha afya ya wauzaji pamoja na wateja lakini tangu oparlationi hiyo ianze Soko limekuwa safi na wanafanya biashara kwa  utulivu.

Oparationi ya usafi  kwa kuondoa taka katika madampo yote kwenye maeneo ya masoko yaliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ni endelevu  ambayo imeanza mwishoni mwa wiki iliyopita kuanzia Soko la Ngome- Kihesa ambalo imesimamiwa na  Maafisa wa afya na Mazingira kutoka  Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa