• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

NAIBU WAZIRI WA AFYA,MAENDELEO YA JAMII JINSIA,WAZEE NA WATOTO AAGIZA HALMASHAURI KUWAPA ENEO SHIRIKA LA DAILY BREAD LIFE

Posted on: July 8th, 2021

Naibu waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto  Mhe.Mwanaid Khamis  ametoa agizo kwa uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuwapatia eneo kwa ajili ya matumizi ya kituo Shirika la  Daily bread life kilichopo kata ya Gangilonga ili kutatua changamoto ya ufinyu wa eneo inayowakabili

Akitoa agizo hilo katika ziara yake iliyofanyika tarehe 8/7/2021 Mhe.Khamis amesema kuwa anawapongeza walezi wa  watoto waishio katika kituo  hicho kwa kazi nzuri wanayoifanya ya  kurekebisha tabia za watoto waliopo hapo.

Aidha Mhe. Khamis amesema Serikali yaJamhuri ya Muungano wa Tanzania inawapenda  na kuwajali watoto hivyo inamipango mizuri ya  kuhakikisha watoto wanapata haki zao wanazostahili na ameahidi kushirikiana nao bega kwa bega kuhakikisha anatatua changamoto zote zilizopo.

Neema Mpeli ni Mkurugenzi wa Daily bread life  amesema Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa kushirikiana na Shirika hilo ilianza kutekeleza mpango wa marekebisho ya tabia April 2020 na mpaka sasa kuna watoto 50 ambao wamepata huduma ya marekebisho ya tabia,watoto 9 kati yao tayari wamehitimu.

Bi. Mpeli amesema  pamoja na mambo mengine pia Shirika linatoa huduma mbalimbali kama ushauri nasaha  na elimu ya ujasiriamali lengo likiwa ni kubadili tabia za vijana waliokinzana na sheria

Naye Kaimu Mkurugenzi Bi. Mwantum Dossi alimshukuru mgeni rasmi kwa zawadi alizotoa katika shirika ambazo ni Michele gunia 3 kama mchango wake wa upendo kwa watoto waishio kituoni hapo na kuahidi kutekeleza maagizo yote  aliyoyatoa kwa Manispaa

Ziara hiyo ilikamilishwa kwa  kutembelea shughuli zinazofanywa na watoto waliopo kituoni ambazo ni bustani za mbogamboga, uokaji wa vitafunwa na utengenezaji vifungashio

Ester Kibiki ni mzazi wa mtoto aliyepata huduma anatoa ushuhuda wa namna ambavyo mtoto wake amenufaika kwa kipindi kifupi na amejifunza mambo mengi ambayo yamebadilisha tabia yake na kupanua uelewa na amewashukuru walezi kwa jitihada wanazofanya kuhakikisha wanatoa malezi  bora kwa watoto

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa