• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

NAIBU WAZIRI WA ARDHI MHE. ANGELINA MABULA AMEWATAKA WAKURUGENZI MKOANI IRINGA KUONGEZA NGUVU YA UKUSANYAJI WA MADUHURI YA SERIKALI

Posted on: March 26th, 2021

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt. Angeline Mabula amefanya ziara na amekutana kuzungumza na Wakurugenzi pamoja na watumishi wa Ardhi Mkoani Iringa katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Lugalo iliyopo Manispaa ya Iringa tarehe 26.02.2021

Akizungumza na hadhara hiyo Mhe. Mabula amesema, dhumuni la ujio wake ni kukagua na kuhamasisha juu ukusanyaji wa maduhuri ya Serikali ambapo Mkoa wa Iringa mpaka sasa umefanikiwa kukusanya kwa asilimia 48

"Jukumu la ukusanyaji wa kodi za ardhi ni letu sote, hivyo tuhakikishe tunawajibika katika hili lakini pia niwaombe wale wadaiwa sugu kulipa madeni yenu maana mnafanya shuguli zingine za kiserikali kutokamilika kwa wakati" Mhe.Mabula aliongezea

Aidha kwa upande wake Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoani Iringa Ndg. Wenslaus Mtui amesema kwa kiasi kikubwa tangu kuanzishwa kwa Ofisi za Ardhi Mkoa wa Iringa zimesaidia kupunguza migogoro mingi ya Ardhi kwa wananchi hali ambayo hapo mwanzo ilikuwa ni changamoto kwakuwa Ofisi zilikuwa Mbeya katika ukanda wa kusini mwa Tanzania

Akiwasilisha tarifa yake ya Mkoa ndugu Mtui katika utendaji kazi amesema kwa sasa Mkoa wa  Iringa katika Sekta ya ardhi kuna  changamoto ya upungufu wa watumishi  hali inayopelekea kushindwa kufanya kazi kwa uharaka na kwa wakati huku akisema vitendea kazi pia ni changamoto

Naye, Mhe. Richard Kasesera, Mkuu wa Wilaya ya Iringa ameipongeza Serikali kwa ufunguzi wa Ofisi hiyo huku akitaja kuwa changamoto ya elimu kwa wananchi ni moja ya kikwazo cha ulipaji wa kodi ya Ardhi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa