• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

OFISI YA MKURUGENZI MANISPAA YA IRINGA YATOA MKOPO WA TSHS. 162 KWA MAKUNDI YA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: June 24th, 2021

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia Ofisi ya Maendeleo ya Jamii imewakabidhi mkopo wa shilingi Milioni 162  kwa vikundi vya wanawake 51, vijana vikundi 26 pamoja na walemavu vikundi vi 5 nakufanya jumla ya makundi 82 ya wanufaika


Tukio hilo limefanyika leo tarehe 24.06.2021 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri huku mafunzo mbalimbali ya matumizi ya mkopo yakitolewa kwa wanufaika hao kutoka kwa wadau wa fedha (benki ya NMB) na wataalamu wa Manispaa


"Niwapongeze kwa kupata mkopo  na niwaombe kuwa waaminifu katika marejesho na hakikisheni mnaenda kuifanyia kazi kama mlivyoiombea"


Hayo yamezungumzwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Iringa Ndg. Mwantumu Dosi akiwa ni mgeni rasmi katika kufungua mafunzo hayo na kukabidhi  fedha hizo


Kwa upande wake Ndg. Dora Myinga ambaye pia ni Afisa maendeleo ya Jamii amewaasa wanufaika kuzingatia kulinda afya zao dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI pia kupambana dhidi ya udumavu na ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto.


Abdala Mwaipopo mmoja wa wanufaika wa mkopo huo amemshukuru Mkurugenzi kupitia ofisi ya Maendeleo ya jamii kuwapatia mkopo huo na kuahidi kuufanyia kazi ipasavyo na kuurejesha kwa uaminifu na kwa  muda waliopangiwa


Akihitimisha kikao hicho Ndg. Dossi amewataka wanufaika hao kufika ofisini kwake endapo watapata changamoto yoyote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa