• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

OPERESHENI IRINGA UCHAFU SASA BASI YAANZA RASMI

Posted on: November 21st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amezindua rasmi operesheni ya usafi ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Novemba 20, 2023 yenye Kauli mbiu ya “IRINGA UCHAFU SASA BASI” itakayokwenda kwa siku saba katika Kata zote ndani ya Halmashauri.

Uzinduzi huo umefanyika katika Kata ya Ruaha kwenye maeneo ya Soko la Ipogolo, Soko la Mwagongo na Stendi ya Ipogolo ambapo Mhe. Dendego alipata fursa ya kuongea na wafanyabiashara wadogo wa Soko la Mwagongo na kuwaasa wahamie katika Soko la Ipogolo ili kuepusha usumbufu usio wa lazima wa magonjwa ya mlipuko kutokana na mazingira kuwa machafu na adha ya kushindwa kupita na magari katika eneo hilo kutokana na wao kujenga vibanda vya soko katika eneo la barabara.

“Nawapa siku 10 wote mhamie Soko la Ipogolo kule kuna nafasi nzuri mtauza bidhaa zenu kwa uhuru, mnaona mlivyoziba njia hivi, mama mjamzito akitaka kujifungua hapa atapita wapi?, Ikifika tarehe 30 nisikute mtu hapa kama kuna watu wanachangamoto, walikopa mahali waorodheshe majina yao na walikopa benki gani kila mmoja aandike anadaiwa kiasi gani ili nione cha kufanya” amesema Dendego.

Shughuli zilizofanyika katika uzinduzi ni Kutoa elimu ya usafi kwa wananchi na wafanyabiashara, Kufanya usafi kwenye mitaro na mifereji, pia Kuhamasisha wafanyabiashara wadogo kuhamia katika maeneo rasmi.

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Veronica Kessy amewataka viongozi na watendaji kuhakikisha wanasimamia zoezi hili kwa lengo la kuifanya Iringa kuwa safi na maeneo yote ambayo yamesafishwa kubaki yakiwa safi na kuwataka baadhi ya wafanyabiashara ambao bado hawajahamia maeneo rasmi kuhamia maeneo yaliyotengwa na serikali kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria.

“Viongozi wa serikali na watendaji wa mitaa hakikisheni zoezi hili linakuwa endelevu katika mtaa wako ili kuacha maeneo yote masafi na pia niwashukuru baadhi ya wafanyabiashara kwa kuwa waelewa na kuhamia katika maeneo rasmi ya kufanyia biashara lakini niwakumbushe kutokufanya biashara holela, endeleeni kuvitoa vitu vyenu na kuhamia pale ambapo tumewatengea vinginevyo Manispaa watafanya kazi yao” Amesema Kessy

Operesheni ya “Iringa Uchafu Sasa Basi” katika Kata ya Ruaha imeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Katibu Tawala Wilaya, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Viongozi wa Umoja wa Wafanyabiashara Masoko na Viongozi wa Shirikisho la Wamachinga Wilaya ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa