• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

RC DENDEGO ASHUHUDIA UWEKAJI SAINI MARIDHIANO KATI YA VIONGOZI WA BAJAJI NA DALADALA -MANISPAA YA IRINGA

Posted on: July 13th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa  Iringa  Mhe. Halima Dendego ameshuhudia uwekaji saini wa maridhiano baina ya viongozi wa Umoja wa madereva Bajaji,Daladala na Halmashauri ya Manispaa ya Iringa yaliyofanyika julai 13 2023 katika ukumbi wa RAS, wakiongozwa na mwanasheria wa Mnispaa ya Iringa Ndugu Nicholaus Mwakasungura.

Maridhiano hayo yamefanyika kwa lengo la kuwezesha Bajaji na Daladala  kutoingiliana katika njia zao za kusafirisha abiria(route) na wafanye shughuli zao kwa utulivu.

Akizungumza mara baada ya tukio hilo kukamilika Mhe. Dendego ameutaka uongozi wa Umoja wa madereva Bajaji kuyaheshimu na kutii maridhiano hayo ili kuepusha migogoro isiyo kuwa ya lazima.

"Hakikisheni haya Maridhiano yanafatwa kwa vitendo, sitegemei tena kuona Bajaji mnawaingilia Daladala kwenye njia zao, naomba hili lisijitokeze tena, fateni taratibu ili kila mtu afanye kazi zake za kutafuta riziki kwa haki na ufasaha,  Alisema Dendego"

Mwanasheria wa Manispaa ndugu.Nicholaus Mwakasungura amesema Maridhiano hayo walipewa siku moja kabla  wakasoma na kuelewa hivyo wanasaini  kitu wanachokielewa vizuri.

Naye Ndugu Titus Kihwele Mwenyekiti wa Umoja wa madereva Bajaji amesema ameridhika na maridhiano hayo na  kuwa hana taarifa zozote zakuhusiana na umoja huo  kujipanga kugoma, na haiwezi kutokea kugoma isipokuwa kuhusuana na faini ya  kuanzia Tshs. 200,000 hadi 1,000,000  ni kubwa hivyo atafata utaratibu wa kukaa  na viongozi wanaohusika kuona namna ya kupunguziwa faini hiyo ambayo ni kubwa ukilinganisha na kipato chao.

Katibu wa Madereva wa Daladala ndugu Fadhili Maluzuku amesema ameridhika na maridhiano hayo lakini ameomba Halmashauri kutoipunguza faini ili kuongeza umakini kwa madereva Bajaji ambao wanavunja sheria na taratibu zilizowekwa na anaamini faini hiyo inalenga kujenga tabia ya kutokiuka sheria ndogo zilizowekwa na Halmashauri na si vinginevyo.

Afisa Mfawidhi LATRA Iringa Ndugu Joseph Umuti amesema kwa sasa kuna Bajaji zaidi ya 1800 na hawataendelea na usajili wa Bajaji zilizotumika toka nje ya Mkoa wa Iringa kutokana na udogo wa Mji wa Manispaa na hali ilivyo kwa sasa ambapo bajaji zimekuwa zikiongezeka idadi kwa kasi siku hadi siku.

Imetolewa na
K/  Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Mamispaa ya Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa