• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

RC DENDEGO AWAAGIZA MENEJA WA TANROADS NA TARURA KUONGEZA USMAMIZI NA UFATILIAJI KWA WAKANDARASI

Posted on: January 10th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amewataka Meneja wa TANROADS na TARURA kuongeza usimamizi kwa wakandarasi wanaopewa kazi za matengenezo au ukarabati wa barabara.

Amesema wakati mwingine wakandarasi wanapewa kazi lakini hawana uwezo wa kutosha na kusababisha kero kwa wananchi na hasara kwa Serikali, kutokana na kutokukamilika kwa wakati au kujengwa chini ya kiwango kwa mujibu wa mikataba.

Ameyasema hayo mapema leo January 10, 2022 alipokuwa katika kikao cha Bodi ya barabara Mkoa wa Iringa kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa (Siasa ni Kilimo).

Aidha amewaagiza Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Iringa kufanya ukaguzi wa mara kwa mara katika miradi yote ya barabara na kutoa taarifa katika mamlaka zinazohusika wanapobaini kuwepo kwa dosari au kukiukwa kwa taratibu wakati wa matengenezo au ukarabati wa barabara.

"Aidha ninamuagiza, Katibu Tawala Mkoa kuhakikisha kuwa sehemu ya miundombinu katika Sekretarieti ya Mkoa kutimiza wajibu wake kikamilifu wa kusimamia matengenezo na ukarabati unaofanywa na TARURA kwa sababu OR-TAMISEMI inatoa fedha za ufuatiliaji kwa kila robo mwaka". Ameagiza.

Kadhalika RC Dendego ametoa wito kwa wananchi kuacha kuvamia maeneo ya hifadhi ya barabara, kuswaga mifugo barabarani, kutupa taka kwenye mifereji ya barabara, na kuharibu alama za barabarani.

"Katika kipindi hiki cha mvua upo uharibifu mkubwa wa barabara unaofanyika kutokana na kuziba kwa nifereji inayopitisha maji kunakosababishwa na shughuli za kibinadamu, hali hii haipaswi kuendelea hatua zichukuliwe kwa wote wanaofanya uhujumu au uharibifu katika barabara".

Katika kikao hicho taarifa mbalimbali zimewasilishwa kutoka TANROADS na TARURA kuhusu utekelezaji wa matengenezo na ukarabati wa barabara kwa Mwaka wa Fesha 2020/2021 na 2021/2022 hadi Desemba 2022.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa